• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Elimu Msingi



MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU MSINGI

Kufafanua  na  kusimamia  utekelezaji wa Sera  ya Elimu  na Mafunzo.  Sheria  na  kanuni zinazoongoza utoaji  wa  elimu  na mafunzo ya ufundi.

Kutoa  ushauri wa kitaalamu  kuhusu   masuala  yote ya kielimu katika Halmashauri.  

Kusimamia   shughuli   za Taaluma  katika  Wilaya.  

Kusimamia na kuratibu  mitihani ya  Darasa la II, IV, VII  na  MOCK  ya  Elimu   ya Msingi.

Kusajili  wanafunzi  waliopo mfumo rasmi / nje   ya mfumo  rasmi.

Kusimamia na kuratibu  mpango wa walimu  kujiendeleza.

Kushughulikia   upanuzi  wa Elimu  katika   ngazi  ya Elimu   ya Awali na   Elimu    ya Msingi.

Kutayarisha na kusimamia utekelezaji   wa mipango ya maendeleo  ya elimu  kila mwaka.

Kudhibiti   matumizi  ya fedha  za elimu kwa mujibu  ya miongozo  ya  fedha  za serikali.

Kuthibitisha  kwamba  shule zote  zinainua ubora   wa mazingira  ya kujifunzia  na  kufundishia.

Kusimamia wajibu  na haki za walimu.

Kukusanya, kuratibu na kuchambua  takwimu  za elimu  katika  Halmashauri  kwa ajili ya  mipango  ya maendeleo  katika ngazi  ya  shule,   Halmashauri , Mkoa  na  Taifa.

Kusimamia, kuratibu na kutathimini  mipango mbalimbali  ya EWW  na MEMKWA na  MUKEJA.

Kuratibu  utoaji  wa Elimu   masafa, ya  ana kwa ana,    kwa kushirikiana  na mkufunzi  wa  makazi  wa elimu   ya watu wazima   Mkoa  na Waratibu  wa vituo  katika Sekondari  na vyuo  (learning   centres).

Kusimamia   uandaaji wa  taarifa za TWM za kila robo  mwaka na uagizaji wa vifaa vya EWW.

Kufanya  makisio  ya idadi ya  mahitaji  ya walimu.

Kufuatilia huduma kwa  wanafunzi   K.M. Mahudhurio, Uhamisho  na  chakula  cha  mchana.

Kusimamia miradi ya maendeleo  hususani miundombinu shuleni.

Kufuatilia  utelekelezaji wa  taarifa za Ukaguzi   wa shule za msingi.

Kusimamia   maendeleo ya  Taaluma   na michezo (UMITASHUMTA)

Kusimamia   na kuratibu   utoaji  wa elimu  maalumu kwa wanafunzi   wenye  mahitaji maalumu.

Kubuni mbinu mbalimbali za kuinua taaluma.

Kusimamia  na kuratibu  shughuli za sayansi kimu  shuleni.  

Kufanya   ziara  za ufuatiliaji  wa Taaluma na miundombinu.

Kufanya  kazi nyingine  kama itakavyoelekezwa na Mkurugezi Mtendaji  Wilaya wa Halmashauri.




……………


Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA NNE KWA SHULE ZA MKURANGA January 18, 2021
  • TANGAZO LA BARAZA MADIWANI MKURANGA January 26, 2021
  • USAILI WA WATENDAJI WA VIJIJI NA MTUNZA KUMBUKUMBU September 13, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI MWANDENGE KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • Naibu waziri aipongeza Raddy Fibre kuwekeza sekta ya mawasiliano

    February 26, 2021
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA BAJETI YA BILIONI 49.7...

    February 18, 2021
  • HALMASHAURI MKURANGA YAJIPANGA KUTEKELEZA MUONGOZO WA TANISEMI KWENYE BAJETI...

    February 15, 2021
  • DC MKURANGA AWATAKA WATENDAJI KUFANIKISHA UKUSANYAJI KODI YA MAJENGO....

    February 14, 2021
  • Tazama vyote

Video

Madiwani wajidhatiti kutoa huduma bora kwa wananchi
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi: +255784494689

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga.Haki zote zimehifadhiwa