• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Afya na Ustawi wa Jamii

Afya na Ustawi wa Jamii


UTANGULIZI


Idara ya Afya inatekeleza majukumu yake kwa kufuata miongozo inayotolewa na Wizara ya afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ina hospitali moja ya wilaya (Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga. Pia ina vituo vya afya sita(6) ambavyo ni Mkamba, Kisiju,Nyota ya bahari,St Irene Kilimahewa, St Vicent-Vikindu na Ibun Jazar-pia kuna zahanati 54.

Idara imelenga kutoa matibabu kwa gharama nafuu kwa wananchi wa Mkuranga.


MAJUKUMU YA IDARA


Kutoa huduma za matibabu na uuguzi kupitia vituo vya afya, zahanati na hospitali ya wilaya. Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga inatoa huduma za upasuaji mkubwa na mdogo ambazo hutolewa kwa wagonjwa wa nje na wa kulazwa.

Kukagua dawa na vifaa tiba kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.

Kusimamia manunuzi ya dawa, vitenganishi vya maaabara,vifaa na vifaa tiba kwa ajili ya kuvisambaza vituo vya huduma za afya.

Kupitia Ustawi wa jamii idara inatoa huduma za kuzuia ukatili wa kijinsia na ukatili kwa watoto.

Kukagua maabara na kuhakikisha zimesajiliwa na zinatoa huduma bora kwa mujibu wa miongozo ya Wizara.

Kusajili maduka ya dawa na vipodozi, kuyakagua mara kwa mara ili kuhakikisha yanafuata sheria, kanuni na miongozo.

Kuratibu huduma za afya ya uzazi na mtoto zikiwemo na uzazi salama, huduma za chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano, wajawazito na uzazi wa mpango.

Matangazo

  • WALIOFAULU INTERVIEW YA UDEREVA October 09, 2019
  • TANGAZO LA MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA June 11, 2019
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI May 14, 2019
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • Mkuranga yazindua Kampeni "Nyuki ni Fursa Tuitumie Mkuranga"

    December 04, 2019
  • Rita kutoa Vyeti kwa watoto wote chini ya Miaka mitano Mkuranga

    December 03, 2019
  • Mkuu wa Wilaya atoa maelekezo kwa wenyeviti wapya

    December 02, 2019
  • Mkuranga yapokea pakiti 264600 kutoka SOLEO

    November 28, 2019
  • Tazama vyote

Video

Madiwani wajidhatiti kutoa huduma bora kwa wananchi
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara
  • Fomu za Maombi ya Kiwanja

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi: +255784494689

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga.Haki zote zimehifadhiwa