• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Idara ya Mazingira na Usafi

MAJUKUMU YA IDARA

  • Kuandaa na kutekeleza program za kutoa elimu ya Mazingira kwa wadau mbalimbali kuhusu njia bora za kudhibiti uchafuzi wa uharibifu wa mazingira na athari zake.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria za mazingira katika maeneo yao ya kazi
  • Kufuatilia ili kupata taarifa za mazingira kutoka katika maeneo yote ynayotakiwa kuhifadhiwa.
  • Kufuatilia na kutathimini athari za uchafuzi wa Mazingira katika makazi, viwanda, migodi, ujenzi wa kilimo na ufugaji.
  • Kuandaa miongozo ya ujenzi wa miundo mbinu yataka katika maeneo ya biashara, viwanda na shughuli nyingine za kuchumi ili kuhakikisha hali ya usafi katika maeneo hayo na kudhibiti uzagaaji wa taka.
  • Kufanya mapitio na marekebisho ya sheria ndogo za usafi na hifadhi za mazingira
  • Kufuatilia utekelezaji wa kazi za kamati za mazingira na kamati za kudumu za Halmashauri zinazoanzishwa na sherria ya usimamizi wa mazingira ngazi ya Halmashauri hadi kitongoji/ mtaa.
  • Kusimamia usafishaji na ukusanyajii wa taka ngumu kutoka kwenye majengo, maeneo ya wazi, barabara na mifereji ya kuondoa maji ya mvua pamoja na kusimamia uhifadhi wa muda, uchambuzi na usafiriashaji Taka Ngumu
  • Kusimamia uchambuaji, utupaji Taka Ngumu na uendeshaji Dampo la kisasa.
  • Kuandaa na kutekeleza miradi mbalimbali kuhusu usimamizi wa Hifadhi ya Mazingira
  • Kufanya Tafiti zenye uhusiano na masuala ya hifadhi ya Mazingira.
  • Kuweka na kusimamia miongozo ya usimamizi wa majitaka yanayomwagwa kwenye mazingira ili kulinda viwango vya mazingira.
  • Kufuatilia miradi ambayo haijafanyiwa tathimini ya athari kwa mazingira katika maeneo yao ya kazi
  • Kuandaa taarifa ya hali ya mazingira katika maeneo ya kazi
  • Kusimamia na kutekeleza kazi nyingine zitakazoelekezwa na mamlaka za juu.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA NNE KWA SHULE ZA MKURANGA January 18, 2021
  • TANGAZO LA BARAZA MADIWANI MKURANGA January 26, 2021
  • USAILI WA WATENDAJI WA VIJIJI NA MTUNZA KUMBUKUMBU September 13, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI MWANDENGE KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • Naibu waziri aipongeza Raddy Fibre kuwekeza sekta ya mawasiliano

    February 26, 2021
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA BAJETI YA BILIONI 49.7...

    February 18, 2021
  • HALMASHAURI MKURANGA YAJIPANGA KUTEKELEZA MUONGOZO WA TANISEMI KWENYE BAJETI...

    February 15, 2021
  • DC MKURANGA AWATAKA WATENDAJI KUFANIKISHA UKUSANYAJI KODI YA MAJENGO....

    February 14, 2021
  • Tazama vyote

Video

Madiwani wajidhatiti kutoa huduma bora kwa wananchi
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi: +255784494689

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga.Haki zote zimehifadhiwa