• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Miopo ya Wanawake na Vijana ilete tija Mkuranga

Posted on: November 24th, 2017


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Eng.Mshamu Munde Leo amehitimisha mafunzo ya siku mbili kwa vikundi vya ujasiriamali vya wanawake na Vijana katika kata ya Kimanzichana.

Akiongea wakati wa kufunga mafunzo hayo Eng Munde alisema lengo la kutoa mafunzo hayo ni kuhakikisha kwamba Fedha zinazokopeshwa na Halmashauri zinatumika kulingana na mahitaji halisi ya kikundi lakini pia kuendeleza biashara na kurejesha mikopo ili vikundi vingine vipate fursa ya kukopa.

Eng Munde aliongeza kwa kusema changamoto ya masoko ya mananasi na mapesheni imeisha sababu kuna wadau wamejitokeza kuanzisha kiwanda "Tumepata wadau ambao wako tayari kuanzisha kiwanda na hivyo wameomba kununua mananasi na mapesheni hivyo bidhaa hizi hazitaharibika tena, pia nawasihi muendelee na Kilimo hiki zaidi"

Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Mkuranga ndugu Peter Nambunga alisema mafunzo haya hufanyika kwa wanavikundi vya ujasiriamali vya wanawake na vijana kila wanapotaka kutoa mikopo kwa lengo la kuwaelimisha namna ya kutumia fedha walizoomba kwa ajili ya biashara zao lakini pia kuwasaidia namna ya kupata masoko.

Bi joyce philipo mwanakikundi wa VEPAMO women group wanajishuhulisha na uuzaji wa nguo za wakina mama alisema "mafunzo haya yamenisaidia kufahamu nani ni soko kumbe soko ni mteja ambae anayekuja kununua bidhaa zangu lakini pia nimejifunza kujiamini katika biashara yangu".

Bwana Shaweji Mohammed Mwenyekiti wa kikundi cha Kazi Kwanza ambapo wanajishughulisha na ulimaji wa mananasi na mpaka sasa wamelima mananasi ekari 15 na wanashukuru kwa kauli ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mkuranga kupata wawekezaji ambao watanunua mananasi kutoka kwao hivyo bidhaa zao hazitaharibika.

Mafunzo hayo yamehitimishwa kwa kata 15 kati ya kata 25 ambazo ni Mkuranga, Mkamba,Magawa, Kimanzichana, Mwarusembe, Nyamato, Lukanga, Njianne, Kisiju,Kiparang'anda, Vikindu, Vianzi, Mipeko, Tambani na Mwandege.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI February 14, 2018
  • Tangazo la Matokeo ya Kidato cha IV February 03, 2018
  • Tangazo la Zabuni February 06, 2018
  • TAMASHA LA MICHEZO December 22, 2017
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • Migogoro itatuliwe na Watendaji ngazi za kata-DED Munde

    April 18, 2018
  • wananchi Mkuranga wapanda miti 500,000

    April 13, 2018
  • Wazazi,walezi wasiowapeleka watoto Shule kuchukuliwa hatua

    March 10, 2018
  • Mbunge Hawa Mchafu awaasa wana Jamii kujiepusha na vitendo viovu

    March 09, 2018
  • Tazama vyote

Video

Ajali ya Basi na Hiace Mkuranga
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara
  • Fomu za Maombi ya Kiwanja

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi: +255784494689

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga.Haki zote zimehifadhiwa