• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uwekezaji wa maliasili na misitu

MISITU:

Halmashauri ya  ina Jumla ya misitu ya Hifadhi 19 yenye ukubwa wa hekta 12,256.54, kati ya hiyo,misitu minne (4) ni ya serikali kuu,ambayo ni;

                        1.Masanganya

                        2.Mkerezange

                        3.Vikindu- utalii ikolojia unafanyika

                        4.Misitu ya mikoko

Misitu 15 ni misitu ya Hifadhi ya vijiji ambayo ipo katika mpango wa usimamizi shirikishi(PFM) Misitu hii ipo katika vijiji vya  Vianzi,Chamgoi,Mkuruwili,Mpafu,Mkanoge,Kibudi,Kibesa,Mkiu,Mvuleni,Kilamba,Kibuyuni,Kerekese,Misasa,Mbezi Mlungwana na Kifumangao.

Misitu hii inaweza kutumika kwa shughuli Rafiki na mazingira kama utalii ikologia,kama unavyofanyika katika msitu wa Vikindu,ufugaji wa nyuki,mafunzo,tafiti,matambiko nk.


Upo uvamizi unaopelekea kuharibika na hata kupotea kwa misitu hii.Shughuli za kibinadamu zinazoathiri misitu hii ni pamoja na ukataji wa miti kwa ajili ya kufungua mashamba,ukataji wa kuni na majengo,uchomaji wa mkaa,uingizaji wa mifugo kwa ajili ya malisho,uchomaji moto ovyo na  kufanya makazi ndani ya misitu.

Zipo jitihada mbalimbali zinazofanyika kupambana na uharibifu wa misitu katika wilaya yetu ikiwa ni pamoja na;

       1.Kufufua mipaka ya misitu hii ambayo kwa sasa aionekani vizuri

       2.Kutoa elimu ya uhifadhi wa misitu na utunzaji wa mazingira  kwa jamii inayozunguka  mae

          neo ya misitu hii.

       3. Kufanya doria za kudhibiti uharibifu wa makusudi wa misitu.

       4. Kupanda miti ili kurudishia miti iliyokatwa katika misitu hii

       5.Kuzima moto mara tu unapojitokeza katika misitu hii.

 

UZALISHAJI WA MICHE YA MITI

Zipo bustani za miche ya miti mbili (2) ambazo zinamilikiwa na Halmashuri ya Wilaya moja na nyingine ina milikiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS).

Bustani hizi zinazalisha miche ya miti ya aina mbalimbali pamoja na miche ya matunda,kivuli na mapambo.Ambapo miche inayozalishwa hutolewa kwa Taasisi za Serikali na za binafsi kama,shule,vyuo.makanisa,misikiti,Ofisi nk,na pia kwa watu binafsi wenye uhitaji.Miche hii pia hupandwa katika misitu yetu ya Hifadhi.Miche inayozalishwa hutolewa bure bila ya malipo.

 

Na

Aina ya makazi ya Wanyama
Aina ya Wanyama waliopo
Kijiji
Kata
Tarafa

1

Bwawa la Kikulwi
Kiboko na Mamba
Kisayani
Mbezi
Shungubweni

2

Mto Kogamimba
Mbamba na Kiboko
Mfurumwambao
Vianzi
Mkuranga

3

Mto Mbezi
Mamba
Mbezi
Mbezi
Shungubweni

4

Bwawa la Manze
Kiboko
Mwarusembe
Mwarusembe
Mkamba

5

Bwawa la Ziziwa
Kiboko
Mpafu
Dondo
Kisiju

6

Bwawa la Ruvungwi
Kiboko
Kilimahewa
Nyamato
Mkamba

8

Bwawa la Zakwati
Kiboko
Misasa
Lukanga
Kisiju

9

Mto Msambanyamani
Mamba
Mavunja
Kisiju
Kisiju

WANYAMAPORI:

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA UALIMU YA MUDA MFUPI March 23, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA LA III March 21, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA July 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA April 14, 2022
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DED akutana na viongozi sekta ya Elimu Mkuranga

    January 15, 2023
  • Madiwani Mkuranga Wapitisha Bajeti ya TARURA

    December 22, 2022
  • Mkurugenzi Mkuranga akabidhi Madarasa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga

    December 20, 2022
  • DED Mkuranga afanya ziara kukagua madarasa mapya ya sekondari

    December 19, 2022
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.