• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uwekezaji wa ufugaji wa Nyuki

Kitengo cha ufugaji nyuki kina mpango wa kuhakikisha wananchi wa Mkuranga wanafanya ufugaji nyuki na fursa zake kama chanzo kikuu cha uchumi mpaka 2030. Katika kutekeleza mpango huo wa miaka kumi kitengo kilianzaisha kampeni inayoitwa NYUKI NI FURSA TUITUMIE iliyozinduliwa tangu mwaka 2019 kwa nia ya kutoa elimu na kuhamasisha fursa za nyuki Mkuranga. Kampeni hii inakauli mbiu tofauti totuti kila mwaka kulingana na hatua na mahitaji. Mwaka huu 2021 Nyuki ni fursa inakauli mbiu ya tunapiga hatua na tunaendelea kupiga hatua.

Kitengo cha ufugaji Nyuki kupitia kampeni hii ya Nyuki ni FursaTuitumiekimefanikiwakupigahatuakatika mambo yafuatayo

Kutoka kuvunatani 1 mwaka 2019mpakatani 8 mwaka 2021.

Pamoja na hayo tumefanikiwa kuongezea ujuzi wa kutengeneza mizinga kitaalam kwa vitendo kwa mafundiseremala 5 hivyo kuwa na uhakika wa viwandavidogo vya kutengeneza mizinga ya kisasandani ya wilaya yetu.

Kampeni ya Nyuki ni fursa kupitia wawezeshaji mbalimbali kama SONGAS imewezesha fursa ya kilimo nyuki imeanzakutekelezwa kwa wadau wa ufugaji nyuki.

Mafanikio mengine ni kuweza kupata fursa ya mafunzo ya kuongeza thamani mazao ya nyuki na mnyororo wa thamani kwa kushirikiana na SIDO kwa vikundi 7 vya ufugaji nyuki na ujasiliamali.

Kitengo kinatoa wito kwa wananchi wa Mkuranga kufanya shughuli za ufugaji nyuki ikiwa ni pamoja na utunzaji wa mazingira kuondokana na majanga ya kimazingira. Pia kitengo kinapendekezakujikita katika fursa ya kilimo nyuki kwa ajili ya kupata mazao yenye ubora na faida mara mbili.

Kitengo kinakaribisha wadau wote kwa ajili ya kujipatia elimu ya ufugaji nyuki na fursa zake ikiambatana na uwezeshaji panapowezekana.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA LA III April 30, 2023
  • TANGAZO LA MWALIKO WA NUKUU YA BEI (KOTESHENI) July 19, 2023
  • TANGAZO LA MWALIKO WA NUKUU YA BEI (KOTESHENI) July 19, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI WA VIJIJI April 29, 2023
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DC MKURANGA AKUTANA NA MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI

    September 14, 2023
  • MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWAJI WA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 21, 2023
  • DED Waziri kombo akabidhiwa ofisi Mkuranga

    June 15, 2023
  • Mkuranga yafanya Mnada wa Kwanza wa Ufuta

    June 14, 2023
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.