• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Uwekezaji wa ufugaji wa Nyuki

Kitengo cha ufugaji nyuki kina mpango wa kuhakikisha wananchi wa Mkuranga wanafanya ufugaji nyuki na fursa zake kama chanzo kikuu cha uchumi mpaka 2030. Katika kutekeleza mpango huo wa miaka kumi kitengo kilianzaisha kampeni inayoitwa NYUKI NI FURSA TUITUMIE iliyozinduliwa tangu mwaka 2019 kwa nia ya kutoa elimu na kuhamasisha fursa za nyuki Mkuranga. Kampeni hii inakauli mbiu tofauti totuti kila mwaka kulingana na hatua na mahitaji. Mwaka huu 2021 Nyuki ni fursa inakauli mbiu ya tunapiga hatua na tunaendelea kupiga hatua.

Kitengo cha ufugaji Nyuki kupitia kampeni hii ya Nyuki ni FursaTuitumiekimefanikiwakupigahatuakatika mambo yafuatayo

Kutoka kuvunatani 1 mwaka 2019mpakatani 8 mwaka 2021.

Pamoja na hayo tumefanikiwa kuongezea ujuzi wa kutengeneza mizinga kitaalam kwa vitendo kwa mafundiseremala 5 hivyo kuwa na uhakika wa viwandavidogo vya kutengeneza mizinga ya kisasandani ya wilaya yetu.

Kampeni ya Nyuki ni fursa kupitia wawezeshaji mbalimbali kama SONGAS imewezesha fursa ya kilimo nyuki imeanzakutekelezwa kwa wadau wa ufugaji nyuki.

Mafanikio mengine ni kuweza kupata fursa ya mafunzo ya kuongeza thamani mazao ya nyuki na mnyororo wa thamani kwa kushirikiana na SIDO kwa vikundi 7 vya ufugaji nyuki na ujasiliamali.

Kitengo kinatoa wito kwa wananchi wa Mkuranga kufanya shughuli za ufugaji nyuki ikiwa ni pamoja na utunzaji wa mazingira kuondokana na majanga ya kimazingira. Pia kitengo kinapendekezakujikita katika fursa ya kilimo nyuki kwa ajili ya kupata mazao yenye ubora na faida mara mbili.

Kitengo kinakaribisha wadau wote kwa ajili ya kujipatia elimu ya ufugaji nyuki na fursa zake ikiambatana na uwezeshaji panapowezekana.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.