• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

Kilimo na Umwagiliaji

Kusimamia utoaji wa huduma bora za ugani kwa wananchi, Kuhimiza wakulima kujiunga katika vikundi ili kuwa na nguvu ya pamoja, Kuhamasisha wakulima kufuata mbinu bora zinazopendekezwa kitaalamu katika shughuli za uzalishaji, Kuwafikishia wakulima teknolojia mpya baada ya kufanyiwa utafiti na kuthibitishwa, Kuwezesha wakulima kutambua fursa na vikwazo vilivyopo kwa maendeleo ili kuwapelekea teknolojia kulingana na mahitaji yao, Kupendekeza, kuandaa na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogo ndogo za kilimo (Agricultural By-laws) kwa kushirikiana na watendaji wengine ndani ya wilaya, Kuhamasisha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kutoa huduma za ugani ndani ya wilaya, Kuratibu na kusimamia maandalizi ya makisio ya mahitaji ya pembejeo na zana za kilimo, upatikanaji na usambazaji wake, Kutoa taarifa ya milipuko ya magonjwa na wadudu waharibifu kwa kuwasiliana na uongozi wa wilaya, mkoa, kanda na wizara za sekta ya kilimo.

Kuwashauri wakulima namna ya kupambana na wadudu, magonjwa na magugu ya mimea mashambani mwao, Kutafuta taarifa za masoko na kuzifikisha kwa wakulima, Kuhamasisha na kuimarisha mitandao ya wakulima, Kutambua (kwa kuorodhesha) watoa huduma za ugani wa sekta binafsi, Kuandaa na kuitisha mikutano ya wadau wa sekta ya kilimo angalau mara moja kwa mwaka, Kufuatilia teknolojia za kuendeleza mazao muhimu katika wilaya hii kutoka katika vituo vya utafiti na kuwawezesha wataalamu katika wilaya kuzielewa ili zitumike kwa usahihi, Kushirikiana na watafiti katika kujaribu teknolojia mpya katika mashamba ya wakulima ndani ya wilaya

Ushirika

Kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika wa aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya jamii, Kuhimiza uimarishaji wa mitaji katika vyama vya Ushirika na kuhakikisha vyama vinafanya shughuli zake za biashara kwa kujitegemea

Kutambua na kusaidia juhudi za vikundi vya wazalishaji wadogo kwa lengo la kuviwezesha kuwa vyama vya ushirika imara kiuchumi baadaye, Kuhakikisha kuwepo kwa uongozi na menejimenti yenye uwezo wa kusimamia ushirika kibiashara na ambayo inawajibika kwa wanachama, Kuelimisha jamii kuhusu ushirika  ulivyo na manufaa yake kwa wanachama kwa kutumia Sheria na Kanuni za Vyama vya Ushirika

utoa mafunzo ya uendeshaji na utawala kwa Vyama vya Ushirika, Kufanya ukaguzi wa Hesabu za Vyama vya Ushirika na kusoma taarifa kwa wanachama, Kukusanya Takwimu za Vyama vya Ushirika na kuziwasilisha Mkoani kila robo mwaka, Kusaidia kukusanya Mapato ya Halmashauri kupitia Vyama vya Ushirika, Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika.

Kupata kazi mbalimbali zinazofanywa na Idara ya Kilimo bonyeza hapa TAARIFA ZA TOVUTI -KILIMO.pdf



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA UALIMU YA MUDA MFUPI March 23, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA LA III March 21, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA July 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA April 14, 2022
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DED akutana na viongozi sekta ya Elimu Mkuranga

    January 15, 2023
  • Madiwani Mkuranga Wapitisha Bajeti ya TARURA

    December 22, 2022
  • Mkurugenzi Mkuranga akabidhi Madarasa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga

    December 20, 2022
  • DED Mkuranga afanya ziara kukagua madarasa mapya ya sekondari

    December 19, 2022
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.