• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Barabara ya Mkuranga-Kisiju yapata ukombozi

Posted on: August 15th, 2018


Kamati ya Siasa Mkoa wa Pwani leo  imefanya ziara  Wilayani Mkuranga ya kutembelea miradi mbalimbali ikiwemo barabara ya Mkuranga-Kisiju na kiwanda cha Lodhia group of Companies.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani Mh Ramadhani Maneno alisema  “Serikali ya CCM ni sikivu wakati tunaomba ridhaa tulieleza nini tutafanya tukiingia madarakani ikiwemo miundombinu ya  barabara Mkuranga-kisiju na maandalizi ya Mkuranga kupata Mji mdogo”.

Ramadhani aliongeza kwamba  Maandalizi  ya kupata Mji mdogo yapo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi ila kuna  marekebisho yanahitajika na baada ya kurekebishwa ukifika  wakati wa kufanya  maamuzi ya kwenye Miji midogo Mkuranga nayo ipate hadhi ya kuwa na Mji mdogo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng Evarist Ndikilo alisema katika wilaya ya Mkuranga watakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi,walianzia Mafia, Rufiji kibiti kwa lengo la  kukagua miradi inayotekelezwa na Serikali.

“Barabara ya  Mkuranga mpaka  kisiju ipo kwenye ilani ya uchaguzi wa  Chama Cha Mapinduzi na mimi kama Mkoa ndio mtekelezaji wa ilani hii.  2015-2020 na nimeaminiwa na Mh Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Joseph Pombe Magufuli nitekeleze ilani”

Ndikilo alisisitiza kwamba wamekuja kukagua yale ambayo Chama iliahidi ikiwemo ujenzi wa barabara ya Tanroad ambapo kwa  bajeti ya 2018/2019  imetengwa bil 23 kwa  Mkoa mzima ikiwemo barabara ya Mkuranga.

Ndikilo aliongeza kwamba Barabara imejengwa kilomita 1.8 na imeongezewa kilomita  tano na  baadae Serikali itaongeza  kilomita 45 ili ifike hadi Kisiju.

Aidha Ndikilo alisema “barabara hii ni muhimu sana sababu inaenda kata ya Mbezi ambapo kuna geti valve ya gesi namba 13 mlango wa kutolea gesi  na gesi ni muhimu sana katika uwekezaji na  uendelezaji wa viwanda”.

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh Filberto Sanga alisema barabara ya Mkuranga-Kisiju kilomita 1.8 imetumia tshs bil 1.8 lakini Serikali inakusudia kuendelea na ujenzi mwingine wa kilomita tano ambazo zitaongezeka.

Kamati ya Siasa Mkoa wa Pwani  imefanya ziara  ya siku moja Wilayani Mkuranga ya kutembelea miradi mbalimbali ya Maendeleo ikiwemo barabara ya Mkuranga-Kisiju kilomita 1.8  na kiwanda cha Lodhia group of Companies

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.