• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Bilioni moja zatumika katika sekta mbalimbali vijijni

Posted on: November 22nd, 2019

Hatimaye Vijiji ndani ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa pwani vimebahatika kuendeleza Miradi mbalimbali kupitia mapato ya ndani katika kipindi cha mwezi Julay hadi Septemba ya mwaka wa fedha 2019/2020 ambapo kwa kipindi hiko kiasi cha Shilingi Bilioni Moja zimeelekezwa katika miradi ya Maendeleo

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani lililofanyika juzi kwenye ukumbi wa Flex Garden Mkuranga kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi katika Kata, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga, Mhandisi Mshamu Munde alisema pesa hizo za mapato ya ndani zimelenga kutatua changamoto katika sekta ya Elimu, Afya na Mikopo kwa Wajasiriamali.

Munde ambaye pia ni Katibu wa Kikao hicho alitaja utekelezaji huo wa Ilani ya uchaguzi (CCM) ya mwaka 2015/2020 umelenga katika kumalizia majengo ya Zahanati, Nyumba za Walimu na Madaktari, kujenga Madarasa sambamba na kutoa Mikopo katika vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu.

Aidha Mhandisi Munde alitumia fursa hiyo kuwaomba Madiwani kuhakikisha fedha zinazopelekwa Vijijini miradi yake ilingane na ubora wa ujenzi huku akiwataka watendaji Kata wajipime kupitia usimamizi wa makusanyo katika maeneo yao ili ifanikishe utekelezaji wa Ilani hiyo katika Miradi ya Maendeleo.

Akifunga kikao hiko Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Juma Abeid alimuomba Mkuu wa Wilaya Filberto Sanga kukaa na wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) ili kujadili matengenezo ya barabara hususani Vijijini ambako kunakwamisha kupeleka mazao mbalimbali Masokoni na hata kusafirisha Mazao ya Korosho ghalani kwa ajili ya minada.

Juma ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Magawa aliwaomba Madiwani wenzake kuhamasisha wananchi ili kujitokeza kwa wiki katika zoezi la kupiga kura Novemba 24 mwaka huu ili kupata Viongozi wa Serikali za Mitaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.