• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

CHANGAMOTO YA KUANDAA BAJETI NGAZI YA VIJIJI NA KATA ZAPATA UFUMBUZI

Posted on: October 8th, 2025

Changamoto za kupanga na kuandaa mpango wa bajeti katika ngazi za Vijiji na Kata zinaenda kutoweka baada ya watendaji wa kata na vijiji kupata mafunzo ya uandaaji wa Mipango na Bajeti

Mafunzo hayo yametolewa na kuratibiwa na divisheni ya miapngo na uratibu yamefanyika agosti 8, 2025 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Mwinyi.

Aidha mafunzo hayo ya uaandaaji wa Mipango ya Bajeti kwa Maafisa Bajeti wa Vijiji na Kata Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga yana lengo la kuoanga vyanzo vya mapato na matumizi ndani ya Halmashauri ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Akiongea baada ya kufungua Mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Waziri Kombo amesema mafunzo haya yataenda kupunguza au kuondoa kabisa changamoto za vijiiji vingi kutumia hela kidogo na kupakiwa na kiasi kikubwa cha hela na kupelekea kutumika kwa akaunti ya amana kufanya matumizi yao.

Mchakato huu wa uandaaji wa Bajeti ya Halmashauri ya mapato ya ndani unaongozwa na miongozo ya Serikali kupitia Ofisi ya Rais - TAMISEMI na Wizara ya Fedha.

Matangazo

  • TANGAZO UCHAGUZI October 05, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DED MKURANGA AWAPONGEZA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKURANGA

    October 08, 2025
  • CHANGAMOTO YA KUANDAA BAJETI NGAZI YA VIJIJI NA KATA ZAPATA UFUMBUZI

    October 08, 2025
  • DED MKURANGA AWAASA WAJASIRIAMALI

    August 12, 2025
  • DED MKURANGA AWAFUNDA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI

    July 22, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.