• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

CHANGAMOTO YA MADARASA MWANDEGE YAPATA SULUHISHO

Posted on: November 15th, 2020

Timu ya Wataalamu  (CMT)  ikiongozwa na Katibu Tawala  Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Bi Veronica Kinyemi leo imetembelea mradi  wa Shule ya Msingi Chatembo iliyopo kata ya mwandege Kijiji cha Chatembo uliotekelezwa na Halmashauri  kwa kutumia fedha kutoka Serikali Kuu kupitia mpango maalumu wa  EP4R (EDUCATION PROGRAM 4 RESULT) zilizopokelewa  Mwezi Juni 26,2020 na ujenzi kuanza katika kipindi cha robo ya pili Septemba-Novemba,2020

Akizungumza katika Ziara hiyo Katibu Tawala Bi, Kinyemi  alipongeza timu ya wataalamu,wasimamizi wa mradi Pamoja na uongozi wa Shule ya Msingi Mwandege kwa kusimamia mradi kwa weledi na maarifa alisema,  “mmeonesha kiwango kikubwa cha uaminifu mlichonacho na Imani ya kile mlichoaminiwa kukifanya hivyo nawapongeza sana na ninawataka sote kwa Pamoja tupambane kumalizia hapa palipobaki bila kuangalia tulipotoka ili Watoto wetu waweze kupata mahali pazuri pa kujipatia elimu ya msingi bila msongamano kama  uliokuwepo awali”

Naye Mkuu wa shule ya msingi mwandege ambaye ni msiamizi wa mradi wa ujenzi, Ndg Azizi Mtwanga ambaye pia ni msimamizi waujenzi wa shule hiyo ya Chatembo alibainisha mafanikio ni Pamoja na kupunguza msongamano mkubwa  wa wanafunzi waliokua wanaenda kusoma katika shule ya msingi mwandege na hivyo shule hiyo ikikamilika mwakani wanafunzi wengi watasajiliwa kwenye shule ya Msingi Chatembo .

Sambamba  na hilo Kaimu Mhandisi wa ujenzi Ndg. Bujiku Paul Bujiku alisema changamoto kubwa waliyokutana nayo katika ujenzi huo  ni uhaba wa saruji hivyo kupelekea mradi kuchelewa kukamilika kwa wakati kama ilivyokua imetarajiwa awali.

 `            

Takribani jumla ya shilingi milioni 299 zimetumika kati ya shilingi milioni 440 ambazo zilitolewa kwa lengo la kukamilisaha  mradi huo kwa mchanganuo ufuatao, Vyumba 14 vya madarasa Tsh 280 Milioni, Jengo la Utawala moja 30Mil. Nyumba ya mwalimu mbili kwa moja 50Mil, Matundu23 ya vyoo vya wanafunzi shilingi milioni 25,300,000, madarasa mawil iya shule ya msingi mwandege milioni 40, matundu manne (4) ya vyoo vya walimu 1,100,00Mil na shilingi  10,300,000 kwa ajili ya usimamizi na ufatiliaji, ujenzi wa mradi huo unatarajiwa kukamilika mapema mwisho wa mwezi Novemba mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.