• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DAWASA WAKAMILISHA NDO YA MAJI MKURANGA

Posted on: July 12th, 2019

Mamlaka ya maji safi na maji taka (DAWASA) wamezindua mradi mkubwa wa maji kwenye Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ambao utawanufaisha wananchi elfu 25 katika vijiji mbalimbali

Akizungumza katika hafla maalumu iliyofanyika juzi kwenye viwanja vya Halmashauri ya Wilaya Afisa Mtendaji Mkuu wa (DAWASA) Mhandisi CYPRIAN LUHEMEJA alisema huo ni muendelezo wa kisima walichochimba eneo la kurungu mwaka 2015

Uhemeja aliyewakilishwa na msimamizi wa miradi Mhandisi John Kirecha aliweka bayana mradi huo utaogharimu sh bilioni 5.5 kupitia mapato ya ndani utajumuisha ujenzi wa tanki lenye ujazo wa lita milioni 1.5  tenki la kupokea na kusambaza maji hadi kwenye tanki sambamba na ulazaji mambomba urefu wa kilomita (63)

Mhandisi Mrema alitaja maeneo yatakayonufaika kuwa ni pamoja na Mkuranga A,B,Kiguza,Bigwa,sambamba na Mkwalia Kitumbo,Njia Nne, Hoyoyo.

Kwa upande Mbunge wa jimbo la Mkuranga ambaye pia Naibu Waziri wa mifugoAbdalla Ulega alimpongeza Raisi Dk. John Magufuli kwa mikakati yake ya kusimami Mapato ya ndani hali iliyofanikisha Wilaya hiyo iiyofanikisha Wilaya hiyo kupata miradi ya maji na barabara ya jamii kwenda kisiju kama ilani ya uchaguzi (CCM) inayoainisha

Ulega pamoja na kuwapongeza(DAWASA) kwa kuchangia  sekta ya Elimu ya afya maalumu mradi huo uwafikie pia wakazi jirani na Mwanambaya, Tengelea,Mbezi Gongoni na Kiparan’ganda huku akisisitiza kipaumbele cha vibarua na wataalam kiwe wenyeji wa wilaya hiyo

Mradi huo unaolenga kumtua ndoo mwanamke   sambamba na kuboresha afya za wananchi itahusisha pia ujenzi wa visima kwenye kitongoji cha mpera kijiji cha kisemvule  

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • SILAA AELEKEZA TCRA KUFIKA RADDY FIBER MKURANGA

    June 18, 2025
  • RC KUNENGE AIPONGEZA MKURANGA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • UWT YAZINDUA KAMPENI YA UTOAJI ELIMU ILANI YA CCM

    June 11, 2025
  • PROFESA NAGU APONGEZA HUDUMA ZA MAABARA MKURANGA

    June 05, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.