• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Awataka Watendaji kata kuwajibika

Posted on: January 19th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Khadija Nasri Ali amewaagiza  Watendaji kata wote (25)   kuhakikisha  wanaunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuboresha  Sektq ya Eliku kwa kuhakikisha wanahamasisja wazazi na walezi vijiji vyote (125) wachangie chakula mashuleni.

 Akifingua kikao cha kawaida cha lishe  bora kwa robo ya  pili mwaka 2021/22 katibu Tawala  wa Wilaya  Veronica Kinyemi aliyemuwakilisha  kiongozi huyo aliweka bayana mamilioni ya fedha za  ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya uviko (19) ambao ni mkopo wa riba nafuu  Trioni 1.3  tokq shiroka la fedha duniani (IMF) zimeboresha sekta ya elimu Wilayani humi kufiayia ujenzi wa madarasa (116) kwenye shule za sekondari.

Aidha kiongozi huyo aliweka bayana suqla la lishe bora ni mkakati wa serikali uliozinduliwa na waziri Mkuu Kassim Majaliwa  hivyo watendaji kata ndio wasimamizi wakuu katika kufanikisha utekelezaji wa mpango huo ambao utapunguza utoro sambamba na utapiamlo.

Alimalizia kwa kumpongeza  Mkurugenzi kwa kununua pikipiki (25) za watendaji kata  ambazo zitarahisisha utendaji.

Kwa upande wake Mkurugenzi  wa Halmashauri  ya Wilaya   Mwantumu Mgonja  amewataka  watendaji kata  wawajibike jwenye vijiji vyao  kwa kusimamia huduma bora sekta ya elimu na afya baadala ya kufanya  jazi kwa nazoea huku akiahidi kufanya ziara za kushtukiza maeneo  mbalimbali na kuchukua hatua  za kinidhamukwa wataozembea.

Naye mratibu  wa Lishe Mkoani Pwani Pamera Meena aliwasilisha mada mbali mbali zinazolenga kupunguza changamoto za upatikanaji wa lishe bora.

Akiwasilisha taarifa  upande wa Halmashauri ya Wilaya  Mratibu wa lishe ngazi Vumilia Ngangando  alisema mikakati ya kuchangisha  chakula mashuleni ulikumbana na changamoto kufuatia matamko ya serikali. Aliweka  bayana kutopata  chakula wanafunzi kumechangia matokeo ya Mtihani wa Taifa kutopata daraja la kwanza  huku akitilea mfano shule ya msingi kiguza kuingia kumi bora ya ufaulu kufuatia  wazazi kujamasishana na kuchangia chakula shuleni.


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.