• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC MKURANGA APIGA MARUFUKU UKATAJI MITI YA MIEMBE NA KUZUIA UTOLEWAJI VIBALI VYA KUKATA MITI HIYO KWA KUCHOMA MKAA.....

Posted on: June 4th, 2021


Minde Honorata.

June 5, 2021

PWANI

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amepiga marufuku ukataji miti ya miembe  pamoja na kuzuia utolewaji Vibali  vya Ukataji wa Miti  hiyo, ambayo kwa sasa  imeonekana  ipo kwenye hatari kubwa ya kutoweka kutokana na kuvunwa kwa wingi kwa ajili ya kuchoma  Mkaa

Filberto alitoa  maagizo hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mazingira Dunia ambayo Wilayani Mkuranga yaliadhimishwa kwa shughuli za kufanya usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga

Alisema tatizo la ukataji miti hususani ya miembe kwa ajili ya kuchoma Mkaa limethiriwa kwa kiasi Kikubwa Wilayani Mkuranga na hivyo amewaagiza watendaji katika idara zote zinazohusika kuhakikisha vitendo hivyo vya ukataji mito ovyo vinadhibitiwa

“miti ya matunda hususani ya miembe inakatwa sana kwa ajili ya kuchoma Mkaa na hali  itatupeleka mahali ambapo tunda la embe hatutaliona kwa kuwa miti yake inakatakwa ,hivyo waataam simamieni hili na msitoe vibali vya kukata miti hiyo ili  kuepukane na hatari ya kutoweka  miti hiyo” Sanga alisema

Kaimu DED  Halmashauri ya Mkuranga Benjamini Majoe alieleza shughuli za binadamu kama vile utunzaji mbovu wa ardhi ,matumizi ya endelevu ya rasilimali pasipo kuzingatia  utunzaji wa uhifadhi, kilimo cha kando ya vyanzo vya maji ni baadhi ya sababu zinazochangia uhalibifu wa mazingira

“kuna madhara mengi ambayo yanasababishwa na uhalibifu wa mazingira ikiwa ni  pamoja na kutoweka kwa makazi ya viumbe hai ,kutoweka kwa baoanuai ,upotevu kwa  rasimali za misitu ambazo usababisha mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa ardhi unaochochea  kupunguza uwezo wa udongo katika kuzalisha mazao ya chakula na biashara,” alisema

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mohamed Mwela amewataka  vijana kuunga mkono jitihada za serikali za kudhibiti uhalibifu wa mazingira kwa kuanzisha vikundi kupitia mikopo ya asilimia kumi  inayotolewa na halmashauri iili  waweze kukusanya  taka ngumu na kuziuza  kwenye viwanda vya  mkoani Pwani

Beatrice Mkera Kaimu Afisa Mazingira Halmashauri ya Mkuranga amezungumzia vitendo vya ukataji miti ovyo  katika  makazi ya Wanyama kunavyosababisha  baadhi ya Wanyama wakali kuonekana kwenye maeneo ya makazi ya watu kwa kuwa maeneo yao ya asili yameathiriwa”

‘sasa hivi tunaona Wanyama kama tembo , simba wanaonekana katika maeneo  ya makazi ya watu na  haya yote ni matokeo ya watu kuvamia kwenye makazi ya Wanyama hao  na kukata miti kwa ajiil ya kuchoma mkaa na si Wanyama wakubwa pekee wanaoathirika bali hata bakteria wa kuzalisha udongo wapo hatarini kupotea ’ Beatrice alisema

Kauli mbiu ya Mwaka huu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ni  matumizi ya nishati mbadala kuongeo mfumo wa Ikolojia  

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.