• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC MKURANGA APONGEZWA NA WANANCHI KWA KAZI NZURI

Posted on: September 27th, 2024

Wananchi wa Kata ya Mkuranga wamempongeza Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali kwa utendaji wake mzuri wa majukumu yake ambayo yamechochea kuleta maendeleo ndani ya Wilaya ya Mkuranga.

Pongezi hizo zimetole na wananchi hao katika Mkutano wa hadhara uliofanyika tarehe 26 Septemba 2024 kwenye viwanja vya stendi kuu ya Mkuranga.

Akihutubia katika Mkutano huo Mkuu wa Wilaya amewataka watumishi wote kuwapa kipaumbele wazee pale wanapokuja kupata huduma mbalimbali katika ofisi na  kuwathamini na kuwajali kwani wazee ni tunu ya Taifa.

Amesema Halmashauri imetenga Bajeti ya kiasi cha shilingi Mil 50 kwa ajili ya kununua mafuta yatakayotumika kwenye Greda ambalo litakalotumika kusafisha barabara za mitaa katika Kata mbalimbali ambapo tayari kazi hiyo imeshaanza ili kurahisisha huduma bora za usafiri kwa Wananchi.

"Barabara ya Tengelea imepata fedha ya kuchongwa km 6 na Tarura imetenga Bajeti ya kiasi cha shilingi 110,300,000 kwa ujenzi wa box culvert ambalo limeharibika kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni na Mkandarasi yupo ambapo kwa sasa anamalizia majukumu ya ujenzi wa miundombinu mingine ndani ya Halmashaur" ( alisisitiza ).

Aungumzia uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kujitokeza  kwa wingi katika kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura kuanzia October 11-20,2024 na kuwataka Wananchi wenye sifa hasa Vijana kujitokeza kwa wingi katika kugombea nafasi za uongozi kwani uchaguzi huu ni huru na haki ya kila mwananchi.

Mpaka sasa ametembelea Kata 23 kati ya Kata 25 na kukagua miradi ya maendeleo 108 ikiwa ni Maelekezo mahsusi ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kuwataka wakuu wa Wilaya kushuka chini kuchukua maoni,kusikiliza na kutatua kero za wananchi sambamba na kukagua miradi ya maendeleo ili kuhakikisha thamani ya fedha inaendana na kazi inayofanyika.

Pia amekagua miradi ya maendeleo Kata ya Mkuranga katika Kijiji cha Mkwalia, Sunguvuni,Mgawa na Mwasani huku akiwa ameongozana na Kamati ya Usalama ya Wilaya,Kaimu Katibu Tawala,Kaimu Mkurugenzi na Wataalamu wake na Wakuu wa Taasisi Wezeshi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.