• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC MKURANGA AWATAKA MADIWANI KUPAISHA MAPATO....

Posted on: September 7th, 2021


Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  Khadija Nasri amewataka Madiwani wajikite zaidi katika kuwaletea maendeleo wananchi .

Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani robo ya nne April hadi Juni mwaka 2020-21 kiongozi huyo ambaye ni kikao chake  cha kwanza aliwataka wawakilishi hao wa wananchi wasimamie ipasavyo vyanzo vya mapato  sambamba na kuelimisha wananchi walipe kodi.

Aidha Khadija aliweka bayana mafunzo ya kusimamia na kuibua mapato watakayopata wataalam wa Halmashauri  hii katika mpango wa Taifa  kwa Halmashauri (27) anaamini yataleta mageuzi na kupaisha mapato yatakayofanikisha kuboresha miradi ya maendeleo.

Akizungumzia Idara ya kilimo aliwataka wajikite katika kuzalisha malighafi ambazo zitatumika kwenye viwanda vya ndani ya Wilaya hali itakayochangia kuboresha maendeleo ya wakulima

Kwa upande wake Mkuu huyo wa kamati ya ulinzi na usalama aliwatoa hofu wananchi kuwa taarifa za uwepo wa simba kwenye msitu wa hifadhi ya vikindu ni uzushi huku akitangaza uwepo wa tamasha kubwa la utalii mwezi oktoba tarehe 2 ambapo itaongozwa na Waziri wa maliasili na utalii.

Diwani wa Kata ya Mipeko Adili Kinyenga alilitaka baraza kuwa na mpango Madhubuti sambamba na kutunga sheria ndogo ili kupanua wigo wa kukusanya mapato kwenye madini ya mchanga  ikiwemo kununua mizani za kupima kila lori la mchanga  badala ya shilingi elfu (20) ya sasa.

Katibu Tawala Wilaya Veronica Kinyemi  alipongeza jitihada za Madiwani wakishirikiana na Wataalam kufanikisha ukusanyaji mapato ya ndani sambamba na hati safi miaka mitatu mfululizo.l

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mohamedi Mwela alifunga kikao aliomba mshikamano kwenye ukusanyaji  mwaka 2022-23 na kuahidi kuvalia njuga chanzo kiku cha mapato kwenye utalii na kuhimiza maboresho Mkuranga yalingane na makusanyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.