• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Dc Sanga ahamasisha wananchi kupima macho

Posted on: September 24th, 2018

Wakazi wa wilaya ya Mkuranga wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhudhuria Clinic ya macho itakayoendeshwa kwa muda wa wiki mbili katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga (Mkwalia)

Wito huo umetolewa leo na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe Filberto Sanga pamoja na Meneja Mkuu wa Shirika la Rehema Foundation Bw. Zuberi Said Salum hospitalini hapo katika ufunguzi wa Huduma ya upasuaji wa mtoto wa jicho itakayoendeshwa hospitalini hapo kwa muda wa wiki mbili kuanzia leo kwa udhamini wa shirika la Deniz Feneri la nchini Uturuki.

Sanga alisema, kama serikali wameipokea huduma hiyo kwa mikono miwili kwani itakua na msaada mkubwa kwa wananchi wa wilaya hiyo wasioweza kumudu gharama za matibabu kwani huduma hiyo itatolewa bure kabisa, hivyo kuwataka wananchi kuhudhuria kwa wingi ili  kupata huduma hiyo ndani ya wilaya yao.

Amesema wilaya ina changamoto nyingi katika sekta ya Afya lakini hili ya upasuajiwa macho lilikua  halina mbadala kwani kwa magonjwa mengine msaada ulishapatikana kwa kiwango chake.

Pia alilishukuru shirika la Rehema Foundation kwa kuichagua wilaya ya mkuranga kuwa miongoni mwa wilaya zitakazonufaika na huduma hiyo kwani wilaya nyingi zilipeleka maombi,na kuwa kiunganishi kikubwa na shirika hilo la Deniz Feneri kutoka uturuki maana imekua msaada mkubwa kupunguza tatizo la macho kwa wakazi hao au kulimaliza kabisa.

Kwa upande wake Bwana Salum ambaye ni meneja washirika la Rehema Foundation mbali na kuishukuru Serikali ya Tanzania kupitia Mkuu wa wilaya ya Mkuranga na shirika  la Deniz Fenerila nchini Uturuki ambalo Duniani linafanya shughuli zake katika nchi16 ,alisema mradi huo wa upasuaji wa mtoto wa jicho unalengo la kuwasaidia wananchi ambao wana uono hafifu kutokana na matatizo hayo, ‘lengo ni kuwafanya wananchi waweze kupata uono bora na kuendelea na ujenzi wa taifa kama kawaida’ .

Aidha wananchi waliohudhuria zoezi hilo walipongeza jitihada hizo za serikali na mashirika hayo kwa ujumla kwani watu wengi hushindwa kupata huduma stahiki kutokana na gharama za matibabu na umbali kwani huduma nyingi hutolewa katika hospitali yaTaifa Muhimbili.

 “Tunashukuru kwa huduma hii kuletewa hapa karibu mana wengine inatuwia vigumu   kwenda mpaka Dar es Saalam”

Ufunguzi huo pia ulihudhuriwa na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Bi. Yassemin Eralp, ambapo mbali na huduma hiyo pia walitoa msaada wa nguo na viatu vya watoto katika wodi ya watoto hospitalini hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.