• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Sanga Atoa Maagizo makali Kwa wanaokata miti hovyo

Posted on: April 27th, 2018


Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh.Filberto Sanga ametoa maagizo makali kwa wananchi na viongozi wanaoshiriki kukata miti hovyo kwa matumizi yao binafsi hasa miti ya miembe na minazi.

Mh Sanga aliyasema hayo hapo jana wakati maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kiwilaya kwenye kijiji cha Mwarusembe wilayani Mkuranga.

Mh Sanga aliongeza ”Nitumie nafasi hii kusema sasa miembe na minazi isikatwe mpaka upate kibali kutoka kwa  Ofisa Misitu na ofisi za Wakala wa Misitu na mtu asipofuata utaratibu huo hatua kali zitachukuliwa, kuendelea kukata miti hiyo itasababisha kukosa embe na nazi za kutosha katika wilaya yetu"

Mh Sanga aliendelea kusema kwamba iwapo ikionekana gari limebeba miti ya miembe au minazi gari hilo litakamatwa na muhusika ataeleza namna alivyopata hiyo miti na watu wote waliohusika na upatikanaji wa miti hiyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Pamoja na mambo mengine Mh Sanga alisema kupitia Muungano wetu ulioasisi taifa hili Serikali ya awamu tano chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Mh.Rais Dkt. John Pombe Magufuli imeweza kuonyesha mafanikio mengi katika Nyanja za ulinzi na usimamizi bora wa rasilimali za taifa, kuimarisha nidhamu ya kiutendaji ndani na nje ya taasisi za umma,kupambana kikamilifu na ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde alisema Muungano unasisitiza mambo mengi ya maendeleo ikiwemo uwezeshaji wa vikundi vya wanawake,vijana na walemavu.

Mhandisi Mshamu aliongeza kwamba Miaka 54 ya Muungano iwe chachu ya kujiunga  kwenye vikundi ili kufanya shughuli za maendeleo kwani Halmashauri inakopesha kwenye vikundi badala ya mtu mmoja mmoja.

Bi Faiza juma mkazi wa Mwarusembe alisema miaka 54 ya Muungano katika Wilaya ya Mkuranga kumekuwa na ongezeko kubwa za zahanati na vituo vya afya na kati ya hizo zilizo nyingi zinatoa huduma hivyo kurahisisha utoaji wa huduma za kiafya kwa wananchi.

Muungano umekuwa na faida nyingi sana kwa taifa na watu wake.Miongoni mwa faida hizo ni amani na utulivu, uzalendo na mshikamano, udugu, upendo na urafiki, itifaki na utangamano wa kiuchumi na diplomasia ya kitaifa na kimataifa.

 Faida hizi zimekuwa ni msingi imara wa maendeleo yetu kwa vizazi vyote hivyo basi hatuna budi kuudumisha Muungano  wetu ili tuendelee kufaidi matunda ya

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.