• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DED MKURANGA AWAPONGEZA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKURANGA

Posted on: October 8th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Waziri Kombo amewapongeza watendaji wa vyama vya ushirika na wasimamizi ubora wa zao la Korosho na ufuta kwa jitihada wanazoonyesha katika usimamizi wa mazao hayo.

Pongezi hizo amezitoa leo kwenye ukumbi wa mikutano wa kituo cha upashanaji Habari Kilichopo Mkuranga (Kiguza ) alipokuwa akizungumza na watendaji hao ambao wanapatiwa mafunzo mbalimbali kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa zao la Korosho

Aidha amewataka wawe waadilifu baada ya mafunzo hayo sambamba na kukaa na kujiuliza ni kwanini Mkuranga tunashindwa na wilaya nyingine na kuona kuangalia changamoto na kuzitafutia majibu yatakayoenda kulifanya zao hilo la Korosho kuwa na thamani

Awali akifungua Mafunzo hayo Kombo amewataka watendaji hao kupitia vyama vyao wakishirikiana na wataalamu wa kilimo  kuwa wanahakikisha wakulima wanaandaa mashamba yao mapema na kuyasafisha vizuri sambamba na kutumia viwatilifu kwa usahihi

Akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji, Mwenyekiti wa Chama cha ushirika Mkoa wa Pwani Mussa Ngeresa amesema kwamba kwa sasa hakuna kiongozi atakayebaki katika uongozi kama utakuwa umefanya ubadhilifu wa aina yoyote

Amesema kwa msimu wa Mwaka huu 2025 hawatarajii kuona ubadhilifu wa aina yoyote kwani wao kama chama cha ushirika wamejipanga kuhakikisha katika manunuzi ya Korosho za Mwaka huu hakutakuwa na makandokando

Mafunzo hayo yatakayodumu muda wa siku tatu yanaendeshwa na wakufunzi kutoka Chuo Kikuu cha Ushirika (Moshi) pamoja na Bodi ya Korosho.

Matangazo

  • TANGAZO UCHAGUZI October 05, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DED MKURANGA AWAPONGEZA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKURANGA

    October 08, 2025
  • CHANGAMOTO YA KUANDAA BAJETI NGAZI YA VIJIJI NA KATA ZAPATA UFUMBUZI

    October 08, 2025
  • DED MKURANGA AWAASA WAJASIRIAMALI

    August 12, 2025
  • DED MKURANGA AWAFUNDA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI

    July 22, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.