• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Dkt Dugange aziagiza Halmashauri kufikia lengo katika makusanyo

Posted on: January 5th, 2021

Wakurugenzi wa Halmashauri za Miji, Wilaya na Majiji Kote Nchini wametakiwa kupanga mikakati ya ukusanyaji mapato ya ndani ili yafikie asilimia (50) ya malengo hatimaye wafanikishe azma ya Rais Dkt John Magufuli ya kuwatatulia wananchi changamoto katika Sekta mbalimbali.

Akizungumza na wataalam na Taasisi wezeshi Wilayani Mkuranga jana Naibu Waziri wa Tamisemi ambaye anashughulikia Afya, Miundo mbinu na Mapato Dkt Festo Dugange alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashaauri ya Wilaya ya  Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde kwa kukusanya asilimia (42) hadi Novemba hali inayoashiria kuvuka malengo.

Kiongozi huyo alimwagiza Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt Stephen Mwandambo kusimamia  ufungaji mifumo ya (TEHAMA) kwenye Zahanati na vituo vya Afya ili kuboresha mapato ya sekta hiyo sambamba na kuwafuatilia wapokea pesa za mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii iliyoboresha (ICHF) na kuhakikisha zinawekwa  kwenye akaunti baada ya kulipwa hatimaye wanufaika wapate kadi sambamba na kuboreshe huduma ya Afya.

Dkt Festo amemwagiza Meneja wa Wakala wa barabara Mijini na Vijijini (TARURA) Mkuranga Mhandisi Godfrey Mlowe kushirikiana na TANROAD kupima uzito wa magari ya mizigo ukiwemo Mchanga yanayopita Vijijini ili yanapoharibu Miundombinu kwa kuzidisha uzito yapigwe faini.

Aidha amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde, kutenga Bajeti kwa ajili ya kuanzisha walau huduma za OPD katika kituo cha Afya kipya kilichopo kijiji cha Vikindu ili wananchi walio karibu na kituo hiko wapate huduma za afya kwa ukaribu huku mchakato wa kuongeza majengo kituoni hapo ukiendelea.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo Abdallah Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga alisema kupitia Baraza la Madiwani wamejipanga kutenga shilingi Bilioni moja kila Mwaka ili kusaidiana na TARURA kufungua mtandao wa Barabara Vijijini huku akiwataka Wataalamu Sekta ya Afya kuhakikisha wanaimarisha huduma kwa wanufaika wa (ICHF).

Naye Mkuu wa Wilaya Ya Mkuranga Filberto Sanga aliitaka Hospitali ya Wilaya kuondoa changamoto ya wanufaika wa Bima kutopata baadhi ya Dawa hapo huku maduka Binafsi zikiwepo Dawa zote

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.