• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

gharama za uuzaji maji kwa wananchi ziipunguzwe

Posted on: August 16th, 2021

Kiongozi wa mbio za Mwenge Maalum wa Uhuru kitaifa Luteni Josephine Mwambashi amempa  siku saba Mkuu wa  Wilaya ya Mkuranga Khadija Ally na kumtaka kuziagiza   kamati za maji zifanye marekebisho ya mwananchi kununua maji  kwa ndoo   shilingi 100 katika vituo vya serikali  na kutaka  bei hiyo ishukeLuteni Mwambashi Amesema hayo akiwa wilayani Mkuranga kukagua ujenzi wa mradi wa tanki la maji katika Kijiji cha Mkerezange na kuridhika na mradi huo uanze kufanya kazi na kutoa huduma ya maji kwa wananchi.Amesema ameridhishwa na mchakato mzima uliohusisha utekelezaji mradi huo ikiwa ni pamoja na nyaraka za matumizi ya fedha zilizotumika kwenye mradi  ili mradi uanze kufanya kazi na wananchi wapate maji salamaLuteni mwambashi amesema serikali inatumia fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maji ili wananchi wapate maji  safi na salama waondokane na changamoto ya kununua maji kwa gharama kubwa na kuyafuata umbari mrefuAidha pamoja na Luteni mwambashi kuridhika na mradi huo ametoa maagizo kwa mkuu wa wilaya ya mkuranga khadija Ally na kumpa siku saba kuhakikisha anashughulikia tatizo la wananchi kununua maji kwa ndoo shilingi 100‘nakuagiza mkuu wa wilaya kukaa na vikundi vya kamati ya maji, pamoja na wakala wa maji safi na usafi wa mazingira RUWASA na wananchi ili muitishe tena mkutana mjadili upya bei ya maji haiwezekana serikali inatoa  fedha nyingi kutekeleza miradi ya  maji halafu wananchi wanunue maji kwa  bei kubwa haiwezekani naomba nipate majibu wa   jambo hili  mahala popoye mwenge utakapokuwa ‘aliagizaKwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga khadiji  Ally amepokea maagizo hayo na kusema anashughulikia na kuyafanyia kazi   maagizo yote aliyopewa na kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa na kuhakikisha bei ya maji inashuka ili wananchi wapate maji kwa gharama nafuuAidha Meneja wa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira RUWASA  Wilayani Mkuranga Maria Malale amesema mradi wa ujenzi wa tanki la maji katika kijiji cha Mkerezange  pamoja na miundombinu ya usambazaji maji umegharimu shilingi milioni 984 .5Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Luteni Josephine Mwambashi pamoja na wakimbiza  mwenge wenzake  wamekagua miradi 15 yenye thamani ya zaidi ya shiilingi bilioni 21 ya wilaya ya   mkuranga na kuridhika na utekekezaji wa  miradi yote na kuizindua huku akiipongeza Mkuranga kwa kuwa na nyaraka safi za utekelezaji wa miradi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.