• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

HALMASHAURI MKURANGA YAKOPESHA WAJASILIAMALI MIL130

Posted on: September 29th, 2020


Halmashauri ya wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani imepongezwa kufuatia utekelezaji sera ya Taifa kivitendo kwa kuwajengea uwezo wana nchi ili waondokane na umasikini

Akifungua mafunzo kwa wajasiriamali kwenye ukumbi wa parapanda  leo mkuu wa wilaya ya mkuranga fillberto sangaaliwataka wanufaika wa mkopo huo kufahamu wazi kwamba pesa hizo ni za wananchi ambazo zinztakiwa zilete tja na matokeo chanya.

Sanga aliewakilishwa na Afisa Tarafa Mkuranga anayefuatilia sera za serikali Clement Muya aliwataka wataalamu kwenye kata (25) kuhakikisha wanakua karib u na wajasiliamali kwa kutoa utaalamu ili miradi iwe na ubora.

Kiongozi huyo aliwwgiza viongozi wa vikundi kutoa taarifa kwa srikali za vijiji na wenyeviti wa vitongoji kuhusu miradi yao ili kuimarisha ufatiliaji ngazi ya kata hadi wilaya  huku akiwaonya  watumishi waepuke kujiunga kwenye vikundi

Awali mkuu wa idara ya aendeleo ya Jamii ,Halmashauri ya Wilaya  PeterNambunga alisema wanatekeleza maagizo ya serikali kutenga asilimia kumi ya mapato ya ndani kwa kuwakopesha wajasiliamali wanawake vijana na watu  walemavu kwa kila mwaka wa fedha.

Nambunga alimhakikishia mkuu wa Wilaya kuwa Halmashauri imetengenea mikakati ya kuhakikisha marejesho yanawanufaisha wengine kwa kutengeneza mwongozo ambao utawabana watakaokiuka kwa kuwapelekea  Mahakamani.

Akifunga mafunzo hayo yaliyowashirikisha watendaji vijiji, kata, Maafisa maendeleo ya jamiikata na wilaya, Mkurugenzi mtendaji Mhandisi Mshamu  Munde alisema mikopo hiyo ambayo haina riba inalenga kuungana na azma ya serikali kufikia uchumi wa kati kwa kuhakikisha wananchi wanajiweza kiuchumi.

Munde alisema wanalenga kutoa mkopo mil (600) kupitia makusanyo ya andani bil.7.1 huku akiwataka wajasiriamali waendeleze biashara kulingana na pmbo la mradi huku akiahidi kufatilia vikundi vyote vilivyonufaika.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.