• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri Mkuranga yapongezwa kuzalisha nyuki na asali

Posted on: February 9th, 2021


Mkuu wa Mkoa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya Mkuranga Mkoa wa Pwani kuchukua nafasi ya kumi kitaifa kwa ubora wa asali na  nane kwa asali bora.

Akizungumza kwenye madhimisho ya mwaka mmoja wa programu ya “Nyuki ni fursa tuitumie” Ndikilo  ambaye  alituma salamu kupitia kaimu Afisa Misitu Mkoa Felix Shayo alisema Serikali ya Mkoa inatambua changamoto ya uharibifu mazingira, watumishi wachache wa sekta na vitendea kazi na kumwagiza katibu Tawala Mkoa wa Pwania asimamie upandaji miti, uhifadhi mazingira na uundaji vikundi lengo Mkoa ufikie Mikoa mingine huku akiahidi kutoa ushirikiano kutatua changamoto.

Akisoma taarifa ya Wilaya Afisa Nyuki Bi. Asted Mpita alisema wazo la Halmashauri ya Wilaya ni kuwa na kampeni ya “program ya Nyuki ni Fursa tuitumie”  inachangia kuhamasisha utalii huku akiwataka wadau kutengeneza mizinga, akiongeza Afisa huyo alisema Wilaya ina mikoko ambayo ni fursa kubwa .

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Mhandisi Mshamu Munde alisema kuongezeka misitu ni ishara ya ufanisi wa kampeni hiyo.

Mhandisi huyo ambaye pia ni mfugaji nyuki alisema mazao ya chakula ni biashara pia asali ni tiba ameahidi kuungana nao kuendeleza misitu ambayo inafaida nyingi.

Akiongeza Munde alisema kampeni itaimarishwa ili itumike kuongeza mapato ya wananchi ,Halmashauri ya Wilaya na Serikali kuu kiujumla.

Akizungumza na wadau Mkuu wa Wilaya Filberto Sanga ameipongfeza Halmashauri kuandaa Hafla hiyo na kuipa kipaumbele huku akiagiza iwe endelevu hatimaye wajikomboe kiuchumi.

Sanga aliyewakilishwa na katibu Tawala Wilaya Veronica Kinyemi aliwataka waendeleze kampeni ili wananchi waelewe na kufaidika na fursa ya kujiajiri na njia zote za masoko ya uhakika.

Katika hafla hiyo Wadau mbali mbali walipewa tuzo akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri Munde ambaye ofisi ya nyuki ipo chini ya uratibu wake.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.