• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

HALMASHAURI YA MKURANGA YAPONGEZWA KUJIBU NA KUFUNGA HOJA 40 KATI 71 ZILIZOTOLEWA NA OFISI YA CAG....

Posted on: June 16th, 2021


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge ametoa maagizo kwa  Halmashauriya Mkuranga kuwa kabla ya June 30 mwaka huu iwe imekamilisha na kuzitolewa majibu hoja 31  zilizosalia  kati ya hoja 71 kwa mwaka 2019/2020 zilizotolewa na  Ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali.Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga wakati akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari kunenge kwenye kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mkuranga cha kujibu hoja 71 zilizotolewa na ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG“ Alisema ofisi ya CAG katika ripoti yake iliyotolewa kwa Rais  Samia Suluhu Hassani march 28 mwaka ilisema Halmashauri ya Mkuranga haikupata hati chafu lakini ilitoa maelekezo  hoja 71 zilizohitaji majibu ambapo hadi sasa hoja 40 zimekwisha jibiwa na kufungwa huku  hoja 31  na hoja 18 zipo nje ya uwezo wa Halmashauri‘Napenda kuwapongeza sana Halmashauri ya Mkuranga kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo yaani mmepata  hati safi na pia mmetakiwa kujibu hoja 71 za CAG  na hadi sasa mmejibu na kuzifunga hoja 40 bado hoja 31 kati ya hizo hoja 13 zipo ndani ya uwezo wenu hoja 18 zipo nje ya uwezo wenu ,na  zilizo ndani ya uwezo wenu naagiza  kabla ya june 30 mwaka huu ziwe zimefungwa zote sababu hazihitaji fedha ‘alisemaKadhalika Mkuu huyo wa Mkoa wa Pwani   pia alitoa maelekezo kwa Halmashauri  ya Mkuranga kuhakikisha wanatekeleza maagizo yake ikiwa ni pamoja na kufungwa hoja zote kabla ya ofisi ya mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG haijaanza zoezi la kuanza kufanya ukaguzi wa mwakani unaotarajia kuanza septemba 30 mwaka huu kwa ajili ya taasisi ya bank na mahakamaAkiendelea kuzungumza katika baraza hilo kunenge  aliiagiza Halmashauri kuhakikisha inaongeza bajeti katika miradi muhimu ikiwemo  miundombinu ya shule hasa madarasa ambapo Halmashauri inakabiliwa na  upungufu wa madarasa 1262Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde  alisema wamepokea maelekezo yaliiyotolewa na Mkuu wa Mkoa  pamoja na hoja zilizotolewa na ofisi ya CAG na kwamba watazifanyia kazi na kuzifunga kama ambavyo maelekezo  yametolewaMunde alisema zipo changamoto ambazo zinasababisha miradi kuendelea kukwama lakini hata hivyo alisema wataongeza  Juhudi ya kuzitatua changamoto zote na  kuzifanyia  kazi changamoto hizo na kuhakikisha miradi yote inafanya kazi.Naye Mwakilishi  wa Ofisi ya CAG Mkoa wa Pwani  Mary Kibogo  aliipongeza Halmashauri   kwa kufanya vizuri katika utekelezaji na kusimamia miradi yake ikiwa ni pamja na kufanikiwa kutoa maelezo na kufunga hoja 40 kwa weledi  na  alisistiza kuwa hoja zilizoanishwa zijibiwe na kufungwa mapema.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.