• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA MKURANGA YAWA KINARA KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO PWANI

Posted on: June 3rd, 2020


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa wingi ili waweze kuwa na wigo mkubwa katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ya wilaya hiyo,hayo ameyasema leo wakati wa kikao cha Baraza maalum la Madiwani kujadili taarifa za majibu ya  hoja za Mdhibiti  na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)  kwa mwaka unaoishia Juni 2019.

“Pamoja na kupata hati safi kwa mara ya  nne mfululizo tangu kuanza kwa Serikali  ya awamu ya tano niwaombe sana Mkurugenzi  Mtendaji na timu yako kusimamia vyema vyanzo vilivyopo lakini pia kuendelea kubuni vyanzo vipya kama ambavyo mmeanzisha mradi mpya wa stendi ya kisasa katika kata ya mwandege mradi ule mkiusimamia vizuri utakua miongoni mwa chanzo kikubwa sana kitakachokuwa kinaingiza fedha nyingi katika Halmashauri hii, alisema”

Aidha katika kuwasilisha hotuba yake Mhandisi Ndikilo alimtaka Kaimu Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ndugu Salon Nyika kujipanga na timu yake katika kusimamia mapato na amemtaka ndani ya siku saba kuainisha majina ya wadaiwa wote ambao wengine ni watumishi wa serikali waliopewa dhamana ya kukusanya  mapato kwa ajili ya Halmashauri lakini wamekua sio waaminifu na matokeo yake wameshindwa kuwasilisha fedha za makusanyo Benki na hivyo kupelekea hoja za mapato kutokufutika   “  Hivyo nawataka ndani ya siku saba  warejeshe fedha zote kabla hatua za kinidhamu na kisheria hazijachukuliwa”, alisisitiza.

Aliongeza kwa kusema Mkuranga  ni Halmashauri inayokusanya vizuri mapato katika Wilaya zote za Mkoa wa Pwani na mpaka  kufikia leo asubuhi ya mwezi Juni  na kusema kiwango cha ukasanyaji kwa mwaka huu wa fedha, kimekusanywa kiasi cha shilingi bilioni 5.99  sawa na aslimia 95 wakati lengo la ukusanyaji wa  mapato ya ndani kwa mwaka huu wa fedha ni bilioni 6.31 ambapo kimsingi kimebaki kiasi kidogo sana kuweza kufikia malengo. “Nawaomba msimamie vema makusanyo,  na kwa wale ambao wanafanya mzaha katika kutufanya tushindwe kufikia malengo basi Mkurungenzi Mtendaji kwa ushirikiano na wataalamu wa fedha simamia hilo ili kulinda dhamana uliyopewa ya kuongoza  Halmashauri hii”

Pamoja na hayo Mhandisi Ndikilo alimtaka mkaguzi wa ndani Bi. Faidha Kassim  kusimamia ufutaji wa hoja zote zilizosalia pia awe anatolea  taarifa za utekelezaji hoja mara kwa mara.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.