• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA UTAMBUZI ,USAJILI NA UFATILIAJI WA MIFUGO

Posted on: December 17th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imefanya uzinduzi wa zoezi la utambuzi ,usajili na ufuatiliaji wa mifugo katika kijiji cha Mkiu Kata ya Nyamato katika shamba la Mkiu Livestock Farm. Zoezi hili lipo katika sheria ya utambuzi ,usajili na ufatiliaji wa mifugo ambapo kulikuwa na uvishaji hereni kwa mifugo pamoja na uchanjaji wa chanjo ya chambafu na kimeta.


Halfa hiyo imezinduliwa na mgeni Rasmi ambae ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhe.Mohamed S.Mwera ambae amewataka wataalamu wa mifugo kutekeleza zoezi hilo kwa kuwa linamanufaa kitaifa ambapo serikali kwa kushirikiana na wafugaji itaweza kujenga na kurekebisha miundo mbinu ya mifugo kama vile

majosho,malambo,machinjio na minada.

Mh Mwera alisema "bajeti ya Halmashauri ni finyu ila watajitahidi kuboresha na kujenga miundombinu wezeshi ya mifugo na kuwezesha upatikanaji wa vitendea kazi kwa maafisa ugani hasa pikipiki kadri bajeti itakavyoruhusu".


Wizara ya Mifugo na uvuvi kwa kushirikiana na sekta binafsi imehakikisha hereni bora za kieletroniki zinapatikana kwa wingi na kwa wakati hapa nchini. Hereni zote zitakazotumika kwenye zoezi hilo zitavalishwa nchini na zitawekwa alama maalum ya kiitroniki (barcode)ambayo itaweza kusomwa kwa kutumia kifaa maalum .Utambuzi ,usajili na ufatiliaji wa mifugo una manufaa mengi ambayo ni pamoja na kukabiliana na magonjwa ya mlipuko,hakikisho la usalama wa chakula ,kurahisisha biashara ya mifugo na mazao yake ,udhibiti wa wizi wa mifugo na upatikanaji wa mifugo iliyopotea


Wilaya ya Mkuranga imetekeleza zoezi la utambuzi ,usajili na ufatiliaji wa mifugo kwa kuzingatia mwongozo uliotolewa na Wizara ya Maendeleo ya mifugo na uvivu kwa namna moja au nyingine wanaunga mkono juhudi za serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Mkuranga  Mhe.Abdallah Hamis Ulega ambaye ni Naibu Waziri katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi.








Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.