• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA YAFANYA MAADHIMISHO YA NYUKI NI FURSA

Posted on: January 5th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga yaadhimisha siku ya Nyuki ni Fursa  katika Kitongoji cha Mamndimpera Kata ya Bupu Wilaya ya Mkuranga.

Diwani wa Kata ya Bupu Bw.Abasi Msangule ambae ndio mgeni rasmi  amewashukuru maafisa nyuki ambao wameweza kushirikiana nao vyema kwa elimu waliyotoa ya ufugaji nyuki mpaka wanakijiji wake kuweza kushiriki katika ufugaji huo ambao unaleta manufaa ki wilaya na ameishukuru  Halmshauri kwa kuweza kuwapa mkopo wa shilingi laki 9,500,000/= kwajili ya kikundi cha Nyuki ni Mali.

Afisa Nyuki wa Wilaya Bi.Asted William amesema kampeni hiyo ya Nyuki ni Fursa ni endelevu na kwasasa inatimiza miaka miwili toka kuanzishwa kwake na kupiga hatua ya kuongeza uzalishaji wa asali wa mpaka Tani 9 kwa mwaka 2021 kutoka tani 1,kwa vikundi imara 25 kutoka 15 mwaka jana na pia wameweza kutoa mizinga ya kisasa 417 na Mizinga 89 ya kienyeji pamoja na mfugaji mmoja mmoja 19 na kampeni hii ni maalum kwa ajili ya kuendelea kukukumbushana mambo mbalimbali yahusuyo nyuki na fursa zake ,kujitathimini ,kutiana moyo kupongezana na mambo mengineyo.

Pia kuna changamoto ya mwamko mdogo ,hiari ya hewa kuathiri mavuno ,wizi wa asali na ghalama kubwa za vifaa vya nyuki na usafiri kwa wataalamu kuwafikia walengwa hvyo changamoto hizi kufanya kuzorotesha kwa shughuli zao kwa kiwango kikubwa sana.

Nae Kaimu DED Bi.Safina Rahim Msemo amewapongeza wana kikundi cha Nyuki ni Mali kwa uthubutu wao wa kuweza kuanzisha kikundi hicho na kuwataka kujituma zaidi ili waweze kupata mafanikio.

Maadhimisho hayo yaliweza kuzindua  kwa kikundi cha NYUKI NI MALI ambacho ni kikundi cha Wanawake ambacho kina wanachama 12 ambao wamejikita kwenye miradi ya Ufugaji wa Kuku wa kienyeji, Ufugaji wa Nyuki na Kilimo cha Ufuta.

Nao wanakikundi cha Nyuki ni mali waliweza kutaja mafanikio yao waliyoweza kupata ikiwa ni pamoja mizinga 10 mipya ya kisasa ,kuwezeshwa kupata mikopo kutoka halmashauri kiasi ch Tsh.9,500,000/=,kununua mashine ya kusaga,kukoboa na kumenya nafaka na kupata mafunzo wezeshi kwaajili ya utengenezaji wa bidhaa yatokanayo na mazao ya nyuki Asali kwa kuifadhi na Jaika na kuratibiwa na Sido.

Kama kikundi kuna changamoto ambazo wanakabiliwa nazo ni pamoja na ukosefu wa umeme,ukosefu wa jengo la kuzalishia na kuifadhia bidhaa zao,ukosefu wa mashine za kuzalisha bidhaa zao ili iingie kwenye soko la ushindani na bidhaa zao kutokua au kusibitishwa na TBC.





Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.