• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri yatenga Tshs 431,871,331 kwa ajili ya mikopo ya wanawake na vijana

Posted on: November 13th, 2017

Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga imetenga kiasi cha Tshs 431,871,331 ikiwa ni asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya wanawake na vijana na usimamizi kwa mwaka 2017/2018 na pia kiasi cha Tshs 92,084,500 ni kiasi cha  fedha ambacho kitakopeshwa kwa kipindi  hiki kwa vikundi vya wanawake na vijana.Hayo yalisemwa leo na Afisa maendeleo ya Jamii Wilaya Bwana Peter Nambunga wakati wa kikao cha kamati ya mikopo Wilaya.

Bwana Nambunga aliendelea kusema kwamba Kwa mwaka huu jumla ya vikundi 60 vya kiuchumi vya wanawake na vijana viliomba mkopo na kati ya hivyo vikundi 29 ni vya wanawake na 31 ni vya vijana vyenye thamani ya jumla ya  Tshs 281,478,000/=


Aidha Mratibu wa Mikopo ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii bi Amina Hoja alisema pamoja na maombi hayo kuwa mengi na kiasi cha fedha kilichopo kuwa kidogo Idara ya Maendeleo ya Jamii iliweza kuvitembelea vikundi hivi na kujua hali halisi ya miradi iliyoombewa na kubaini baadhi ya changamoto ikiwemo miradi kutoonyesha uhalisia wa kuombea mkopo na wengine kukosa kabisa shughuli za kufanya hivyo kutokana na hilo Idara baada ya kufanya tathmini ya pamoja na kamati ya mikopo Wilaya imeridhia vikundi 40 kupewa mikopo ambapo vikundi vya wanawake 16 na Vijana 24 ambapo kiasi cha Tshs 92,084,500 kitakopeshwa kwa vikundi hivyo.


Bwana Jafari Mulike Katibu wa kikundi cha KIVIKI Youth Group kilochopo Tengelea alisema”kikundi chetu kinajishughulisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji tulikopeshwa kiasi cha Tshs 3,000,000 tangu April 2017 na tunaendelea vizuri na marejesho lakini pia tumepata mafanikio kwani tulianza na kuku 32 lakini sasa hivi tuna kuku 120”


Bi lenada Ndimbo katibu wa kikundi cha wanawake kiitwacho KARIBU FARM kilichopo Mkuranga mjini alisema anashukuru sana kwa Halmashauri kutoa kipaumbele kwa vikundi vya wanawake katika kupata mikopo lakini pia amewasihi wanawake wote wa Mkuranga kujiunga na vikundi mbalimbali vya kiuchumi ili kupata fursa ya kupata mikopo ili kujikwamua kiuchumi.


Pamoja na mafanikio hayo kuna changamoto ya baadhi ya vikundi kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati,vilevile malalamiko kuhusiana na kiasi kidogo kinachotolewa kulingana na mahitaji halisi.


Mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ilitenga Tshs 221,251,305/= kwenye vyanzo vyake vya mapato ya ndani kwa ajili ya kukopesha vikundi vya kiuchumi vya wanawake na vijana.

Aidha Halmashauri iliweza kutoa kiasi cha Tshs 199,200,000/=kwa ajili ya kukopesha jumla ya vikundi 98 vya wajasiriamali, kati ya hivyo vikundi 46 vya wanawake na 52 vya vijana.



Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.