• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

IDARA YA ELIMU SEKONDARI WILAYA YA MKURANGA YAJIPANGA MAANDALIZI MTIHANI WA KIDATO CHA SITA

Posted on: May 25th, 2020

Mkuu wa idara ya Elimu sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga  Mkoa wa Pwani Mwl. Benjamin Majoya leo amezungumza na Afisa Habari Wilaya  kuhusiana na maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha sita ambao wanatarajiwa kuripoti shuleni kuanzia tarehe 1/6/2020

Mwalimu Majoya alisema wao kama idara kwa ushirikiano wa walimu wa shule zote zenye kidato cha sita ambazo ni shule ya sekondari Mwinyi, Nasibugani na St Mathew walijipanga mapema kwa kuwasaidia wanafunzi  na  kuwaandalia masomo na kuwatumia kwa njia ya mtandao ili waweze kujisomea wakati walipokua wanasubiri tamko la Serikali.

Sambamba na hilo Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari alisema  “hawa watoto walishasoma na tayari walikua wameshajiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya mwisho kilichotokea baada ya tamko la kufungwa kwa shule kiliwahuzunisha na kuwapunguza morali lakini anaamini wanafunzi  wa kidato cha sita ni watoto wenye uelewa ukilinganisha na wale waliopo madarasa ya chini…

Akizungumzia  changamoto ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha corona alisema wao kama walimu wamejipanga kusambaza ndoo za maji na sabuni katika shule zote na kuwasisitiza wazazi wanapowarejesha watoto mashuleni mapema mwishoni mwa wiki hii wasisahau kuwapa barakoa nyingi kadri ya matumizi  ili waweze kujilinda wakiwa maeneo ya Shule

Kwa kuhitimisha bwana Benjamini alisisitiza atashirikiana na Idara ya Afya ya Hamashauri ya Wilaya kwa kuwaomba waende kutoa elimu zaidi mashuleni kwa kipindi ambacho watoto hao watakapokua wanasubiri kufanya mtihani wa kumaliza kidato cha sita ila kuwaongezea elimu zaidi kuhusiana na mapambano ya kirusi cha Corona

Mitihani ya kidato cha sita inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi wa sita mwaka huu kama tamko la serikali lilivyosisitiza chini ya Wizara ya Elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.