• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jaffo aagiza Wakurugenzi

Posted on: December 31st, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jaffo amewaagiza Wakurugenzi wote wa Halmashauri za Wilaya na Miji ambao wamepata fedha kutoka serikalini kwa ajili ya kujenga vituo vya Afya wafanye hivyo haraka iwezekanavyo.

Ameyasema hayo jana katika Mkutano maalum wa kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa Ilani ya CCM ulioandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega katika viwanja vya Godauni Mkuranga na kuwaeleza ifikapo tarehe 15 mwezi wa kwanza 2020 asiyetekeleza agizo hilo basi aandike barua mwenyewe ya kujieleza kwa nini asiachishwe kazi.

amesema fedha hizo ni za awamu ya pili ya kuendeleza juhudi za Mh. Raisi John Pombe Magufuli kwa kuongeza kujenga vituo vingine vya afya 52 kote nchini ambapo kwa Halmashauri ya Mkuranga imebahatika kupata tena fedha hizo, baada ya fedha za awali ambazo zimefanikisha kujenga vituo vya Afya vya Mkamba na Kisiju na cha tatu ambacho kinatarajiwa kujengwa Vikindu katika Zahanati ya Ngunguti.

Awali Waziri Jaffo alizindua huduma ya X-ray na Utrasound katika Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga pamoja na Kukagua Miradi mikubwa ikiwemo ya Maji ambao unatarajiwa kukamilika mwezi wa tano 2020 wenye gharama ya shilingi bilioni 5.6 sambamba na jengo jipya la kisasa la wazazi ambalo nalo amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkuranga Mshamu Munde kuhakikisha hadi mwezi wa nne liwe limekamilika.

Nae Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Pwani Zainabu vulu amemuomba Waziri mwenye dhamana ya masuala ya Afya Ummy Mwalimu kuongeza wataalamu katika Hospitali hiyo kwani imeelemewa na ina uwezo wa kuhudumia wazazi (kuzalisha) akina mama 80 tuu kwa mwezi tofauti na sasa ambapo wanahudumia wazazi zaidi ya 300 kwa mwezi.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mkuranga Ally Msikamo kwa niaba ya Wazee na Wananchi wa Mkuranga wamemuomba Waziri Jaffo kumfikishia salamu na pongezi nyingi Mh Rais Magufuli na kumuomba afike Mkuranga kuzungumza na wananchi hao kwani wanahamu kubwa sana na yeye, na wanamuunga mkono kwa juhudi zake za kutekeleza ahadi zake kwa watanzania.

Barabara ya Mkuranga Kisiju kuendelea kujengwa kwa kiwango cha Lami baada ya kuongezwa kilometa 5 kutoka ilipoishia sasa hadi kufikia Mbezi na miradi hii inatekelezwa kwa fedha zinazotokana na kodi za wananchi. b

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.