• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

kamati ya Uchumi yafanya ziara

Posted on: January 13th, 2020

Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira Halmashauri Wilaya ya Mkuranga imemuagiza Mhandisi wa Ujenzi Shaidu Moudrica kuhakikisha ujenzi wa nyumba anayotakiwa kuishi  Mkurugenzi inakamilika mapema iwezekanavyo kabla ya vikao vijavyo ili Mkurugenzi aliyopo sasa aweze kuhamia katika nyumba hiyo.

Kamati hiyo imetoa agizo hilo jana katika kikao cha majumuisho baada ya kufanya ziara ya kukagua baadhi ya vikundi vilivyopata Mkopo kutoka Halmashauri sambamba na miradi ya ujenzi wa ukuta katika nyumba hiyo pamoja na ujenzi wa ukuta kuzunguka jengo la Ofisi ya Mkurugenzi.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hassani Dunda amesema kuhamia kwa Mkurugenzi katika nyumba hiyo kutasaidia gharama wanazotumia kwa sasa za kulipa kodi ya nyumba ya Mkurugenzi zitasaidia katika kufanya kazi katika miradi mingine.

Awali wakikagua miradi na vikundi hivyo Kamati imepongeza vikundi vilivopata mikopo kwa kuzisimamia vema fedha hizo na kuzitumia vizuri kwani wameridhika baada ya kuona shughuli zinafanyika vizuri na kuwaasa kuendelea kushirikiana vema na hatimae wahakikishe wanarudisha mikopo hiyo kwa wakati ili waweze kukopa tena.

Ziara ya Kamati hiyo ya kukagua miradi iliyopewa fedha katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2019/2020 imekagua miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 168 ambayo ni vikundi vinne vya vijana pamoja na ujenzi wa ukuta katika nyumba ya Mkurugenzi na ujenzi wa ukuta wa Ofisi ya Mkurugenzi.

Aidha Wataalamu wametakiwa kusimama katika nafasi zao kwa maana ya kufuata taratibu za fani zao sambamba na Afisa Maendeleo Jamii Wilaya ya Mkuranga kuwasilisha majina ya Vikundi vyote kwa Kamati hiyo vinavyodaiwa kwa Kipindi kirefu ili iweze kusaidia na kufanikisha kurudishwa kwa madeni hayo.

Kamati hufanya ziara hizi kwa lengo la kukagua na kuhakikisha fedha zinazotolewa na Halmashauri zinawafikia walengwa na kufanya kazi kama ambavyo wao wamepitisha kupitia vikao vya Madiwani na kuangalia thamani ya fedha hizo na kazi zinazofanyika.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.