Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kituo cha Afya Mkamba chakamilika kwa asilimia 80

Posted on: April 5th, 2018

Kituo cha Afya Mkamba Wilayani Mkuranga kimefikia hatua ya mwisho za ujenzi wa miundombinu ambapo ujenzi huo umeelekezwa kwenye chumba cha upasuaji,wodi ya wazazi,Maabara na Nyumba ya Mganga.

Mwenyekiti wa kamati ya Afya kituo cha Afya Mkamba bwana Haji Abdallah alisema ujenzi ulianza mwanzoni mwa mwezi machi  ambapo walipokea kiasi cha Tshs milioni 400 kwa ajili ya ujenzi huo ambapo fedha zilipokelewa mwishoni mwa mwezi Disemba 2017.

Bwana Abdallah aliongeza kwamba baada ya kupokea fedha hizo waliendelea na maandalizi ya awali ikiwemo usafishaji wa eneo linalotarajiwa kujengwa na pia kusubiri ramani mpya kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwakua walipata taarifa juu ya ramani mpya ambazo zitatumika kwenye vituo vya Afya.

Aidha Bwana Abdallah aliendelea kusema kwamba ujenzi umefika kwenye hatua mbalimbali ambapo nyumba ya Mganga na Maabara zipo kwenye hatua ya umaliziaji na wodi ya wazazi pamoja na chumba cha upasuaji ziko kwenye hatua ya upauaji.

Bwana Bakari Mpili mjumbe wa kamati ya manunuzi alisema wamefanikiwa kununua baadhi ya vifaa kwa bei rahisi kutoka viwandani ambapo vifaa walivyonunua viwandani ni mabati na misumari na vifaa vingine wamenunua dukani kwa bei za kuridhisha kulingana na soko lilivyo.

Mwenyekiti kamati ya ujenzi bwana Hamisi Omari Mwidoe alisema ujenzi unaendelea vizuri ila kulikuwa na changamoto ya ucheleweshwaji wa vifaa kutokufika kwa wakati ambapo zaidi ilikuwa kwenye kokoto, mawe na mchanga kutokana na hali ya hewa ambapo sehemu wanapochukua vifaa hivyo kulikuwa kumejaa maji.

Kamati ya ujenzi imeadhamiria kuhakikisha ifikapo mwishoni mwa mwezi Aprili ujenzi huo utakuwa umekamilika ambapo kutakua na chumba cha upasuaji, wodi ya wazazi,maabara na nyumba ya mganga.

Kituo cha Afya Mkamba baada ya kukamilika  kitasaidia kupunguza umbali wa huduma za upasuaji kwa wananchi na pia  kituo hiki kinatarajiwa kuwahudumia wananchi wa kata mbalimbali kama kisegese, Panzuo, Nyamato, Kimanzichana, Mwarusembe, Lukanga na Magawa.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.