• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

KLINIKII YA ARDHI YAZINDULIWA MKURANGA

Posted on: September 7th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge Amewataka wananchi wa Mkuranga kujitokeza kwa wingi kuhudhuria Kliniki ya Ardhi ili kuweza kumaliza migogoro ya ardhi Wilayani humo.

Akiongea kwenge uzinduzi wa Kliniki hiyo uliofanyika mwishoni mwa wiki hii katika Kijiji cha Vikindu, Kunenge amesema ni muhimu kwa wananchi wa Mkuranga kushiriki na kuwasilisha kero zao katika Kliniki hiyo kwani ni utekelezaji wa kampeni ya tokomeza migogoro ya Ardhi Mkoa wa Pwani 

Amesema Serikali itawachukulia hatua kali matapeli wote ambao watapatikana kwa kuwaongopea na kuwatapeli Wananchi ardhi zao pamoja na wale wanaowachangisha fedha wananchi hao kwa lengo la kuwalipa wataalam wa mambo ya jadi kwa nia ya kufifisha baadhi ya matakwa yao.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa amesema wamechagua Kata ya vikindu kufanya Kliniki hiyo kwa sababu ndiyo Kata inaongoza kwa migogoroya ardhi ndani ya Wilaya lakini ndiyo Kata pekee inayoongoza kwa wingi wa watu na shughuli za kiuchumi.

Aidha amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Waziri Kombo pamoja na Mkuu wa Idara ya ardhi Saidi Swalehe kwa kazi kubwa inayofanywa ya upangaji wa miji sambamba na utatuzi wa migogoro unaoendelea.

Amesema mpaka sasa zaidi ya hati 8000 zimeshatolewa kwa wananchi ambao wamefanikiwa kukamilisha taaratibu za umiliki pamoja na kutambuliwa kwa vipande vya viwanja 141,000 ambavyo vimewezeshwa na kuandaliwa kwa michoro ya mipango miji.

Sambamba na hilo ameyataka makampuni ambayo yanaingia vijijini na kupima maeneo kwa ajili ya kuuza viwanja lazima wawasiliane na Idara ya ardhi ili kuweza kupanga mji kwa taratibu zinazohitajika.

Diwani wa Kata hiyo Mohamedi Maundu amewataka wananchi kuitumia fursa ya uwepo wa kliniki hiyo ndani ya kata yao ili kuweza kupunguza au kumaliza migogoro ya ardhi ndani ya kata na Wilaya kwa ujumla.

Katika uzinduzi huo wananchi walipata fursa ya kuwasilisha kero zao na kupatiwa majibu hapo hapo, na Kliniki hiyo itadumu hapo kwa muda wa siku nane tangu kufanyika kwa uzinduzi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.