• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

KUNENGE AWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WAKULIMA WA KOROSHO MKOA WA PWANI 2023 - 2024

Posted on: October 5th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amewahakikishia wakulima wa korosho Mkoa wa pwani kwamba msimu wa korosho 2023-2024 amejipanga kuhakikisha wakulima wote wanapata haki zao pindi mauzo yatakapoanza na kuhakikisha wanawachukulia hatua kali kwa wote wataokwamisha wakulima wa korosho Mkoa wa Pwani.

Kunenge ameyasema hayo alipofungua mkutano wa wadau wa korosho Mkoa wa pwani ambao umefanyika oktoba 5 katika ukumbi wa Flex Garden Kiguza Mkuranga.

Katika Mkutano huo Kunenge alimpongeza Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuondoa changamoto za wakulima sambamba na kuwatumikia Watanzania kwa lengo la kuboresha maisha yao.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nasri Ali amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea wakulima wa Mkuranga pembejeo za kutosha na madawa kwaajili ya kilimo.

Akifafanua Mkuu wa Wilaya, aliweka bayana asilimia (70) za Pembejeo zote Mkoa wa Pwani zimekuja Wilaya ya Mkuranga huku akimhakikishia Mkuu wa Mkoa kusimamia kwa weledi na umakini mkubwa mauzo ya Korosho kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.

Aidha kiongozi huyo alisema kutokana na tahadhari ya mvua  maghala yatafunguliwa kwenye Amcos tarehe 10 mwezi oktoba na mnada wa kwanza utafanyika  tarehe 25 Oktoba 2023.

Akiwasilisha salamu za Wabunge wa Mkoa wa Pwani , Mbunge wa jimbo la kibiti Abdallah Mpembenue alimpongeza Rais Dkt. samia kwa kuhamasisha masuala ya kilimo na Viwanda huku wakiahidi kumpa ushirikiano kusimamia zao la Korosho ambalo kwa kiasi kikubwa linagusa wananchi.

 Kwa upande wake Meneja Mkuu wa Chama cha ushirika Mkoa wa Pwani (CORECU) Hamisi Mantalewa ameweka bayana kuwa wanazidi kuboresha Miundombinu ambayo itakuwa rafiki kwa wakulima wa korosho ambapo wameanza kugawa vifungashio kwa baadhi ya AMCOS pamoja na vipima unyevu ambavyo vitasaidia kupata korosho zilizo bora na kuwahakikishia wakulima kwamba  watapata malipo yao kwa baada ya siku 10 .

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.