• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KATIKA WILAYA YA MKURANGA

Posted on: December 1st, 2021

Takwimu za maambukizi ya virusi vya ukimwi zimeshuka kutoka asilimi 4.9 hadi kufikia asilimia 3 kuanzia January 2020 hadi kufikia Desemba 2021

Hayo yamesemwa leo katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani  yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mkuranga.


Akizungumza na wananchi waliojitokeza katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi Hadija Nasri Ali alisema kwa kipindi cha Januari hadi Octoba 2021 jumla ya watu  28,125 wamejitokeza kupima Virusi vya Ukimwi  ambapo wanaume ni 12,280 na wanawake 15,845 waliobainika kuwa na maambukizi ni 879 kati ya hao wanawake 556 na wanaume 310 hivyo kufanya wilaya kuwa na maambukizi ya  asilimia 3.


Ametaja magonjwa makuu yasiyoambukiza ni pamoja na mishipa ya damu, saratani, kisukari na magonjwa sugu yasababishayo kuziba mfumo wa upumuaji


Akiwasilisha taarifa ya magonjwa yasiyoambukiza  Mtaalam wa afya Bi Juliana Mpwata alisema takribani  watu milioni (36) kila mwaka huathirika na magonjwa yasiyoambukiza sawa na asilimia  80 na watu mil (29) hufariki kutokana na magonjwa hayo haswa katika nchi za vipato vidogo na vya kati, aliendelea kusema magonjwa ya moyo na mishipa ya damu ndio sababu ya vifo vingi vya watu mil. 17 ikifuatiwa na kansa mil. 7, mfumo wa upumuaji mil. 4 na kisukari milioni 1.


Akihitimisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bi, Mwantumu Mgonja alimhakikishia mkuu wa Wilaya kuwa maelekezo yote akiyoyatoa watayafanyia kazi hususani katika swala la mazoezi ili kuufanya  mwili kuwa imara na afya bora.


Maadhimisho hayo yalipambwa na kauli mbiu isemayo "kauli mbiu ya tokomeza ukimwi, tokomeza magonjwa yasiyoambukiza"


Takribani jumla ya watu 28125 wakiwemomwake kwa waume , hayo ameyasw,a ,eo Mkuu wa wilaya Mkuranga Mhe. Hadija Nasri



Zingatia usawa tokomeza ukimwi,tokomeza magonjwa ya mlipuko










Takwimu za maambukizi ya virusi vya ukimwi zimeshuka kutoka asilimi 4.9 hadi kufikia asilimia 3 kuanzia January 2020 hadi kufikia Desemba 2021
Hayo yamesemwa leo katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani  yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mkuranga.

Akizungumza na wananchi waliojitokeza katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi Hadija Nasri Ali alisema kwa kipindi cha Januari hadi Octoba 2021 jumla ya watu  28,125 wamejitokeza kupima Virusi vya Ukimwi  ambapo wanaume ni 12,280 na wanawake 15,845 waliobainika kuwa na maambukizi ni 879 kati ya hao wanawake 556 na wanaume 310 hivyo kufanya wilaya kuwa na maambukizi ya  asilimia 3.

Ametaja magonjwa makuu yasiyoambukiza ni pamoja na mishipa ya damu, saratani, kisukari na magonjwa sugu yasababishayo kuziba mfumo wa upumuaji

Akiwasilisha taarifa ya magonjwa yasiyoambukiza  Mtaalam wa afya Bi Juliana Mpwata alisema takribani  watu milioni (36) kila mwaka huathirika na magonjwa yasiyoambukiza sawa na asilimia  80 na watu mil (29) hufariki kutokana na magonjwa hayo haswa katika nchi za vipato vidogo na vya kati, aliendelea kusema magonjwa ya moyo na mishipa ya damu ndio sababu ya vifo vingi vya watu mil. 17 ikifuatiwa na kansa mil. 7, mfumo wa upumuaji mil. 4 na kisukari milioni 1.

Akihitimisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bi, Mwantumu Mgonja alimhakikishia mkuu wa Wilaya kuwa maelekezo yote akiyoyatoa watayafanyia kazi hususani katika swala la mazoezi ili kuufanya  mwili kuwa imara na afya bora.

Maadhimisho hayo yalipambwa na kauli mbiu isemayo "kauli mbiu ya tokomeza ukimwi, tokomeza magonjwa yasiyoambukiza"

Takribani jumla ya watu 28125 wakiwemomwake kwa waume , hayo ameyasw,a ,eo Mkuu wa wilaya Mkuranga Mhe. Hadija Nasri


Zingatia usawa tokomeza ukimwi,tokomeza magonjwa ya mlipuko
















Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.