• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MABULA AWATAKA MAAFISA ARHI KUSIMAMIA ZOEZI LA URASIMISHAJI

Posted on: October 3rd, 2019

Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi  Angelina Mabula awaagiza wakurugenzi wote Nchini kuwasimamia wataalamu wa rdhi ili waendeshe zoezi la kurathimisha Ardhi vijijini hatimaye wananchi wapate hati zitakazowawezesha watumie ardhi yao kwa dhamana ili kupata mikopo katika taasisi mbali mbali za fedha ili wajikwamue kiuchumi

 Mabula Ameyasema hayo wakati wa kikao kazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga  Mkoa wa Pwani akimuagiza  Afisa Ardhi Mteule Mussa Kichumu kuhakikisha anawaogoza wataalamu wenzake kufuatilia mashamba pori yenye hati miliki katika vijiji vyote 125 na kuwapa notisi kisha wawasilishe kwake vielelezo tayari kwa kuyabadilishia mpango.

Aidha Mabula alimtaka Afisa Ardhi Mteule Wilaya ya Mkuranga awape notisi ya mahakama wadaiwa sugu wote walipe tozo za serikali sambamba na kuingiza kwenye mfumo viwanja vyote na mashamba ili kuboresha ukusanyaji wa mapato ndani ya Wilaya

Kwa upande wake Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mathew Nhonge alihitimisha mgogoro sugu wa wakazi wa Kikoo na Miale kwa kukabidhi Ramani yenye viwanja 334 huku akiahidi kuwaongoza wataalamu wake kwenye migogoro ya kiwilaya ili kufafanua tafsiri ya mipaka.

Aidha Mabula alimtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde kuandaa na  kupeleka andiko kwake ili waweze kupatiwa mkopo utakaofanikisha kupima maeneo mbalimbali huku wakizuia ujenzi unaoendelea wa makazi holela

Akitoa neno la shukrani Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga alimhakikishia Naibu Waziri kusimamia maagizo yote likiwemo la kuyawezesha Mabaraza ya Ardhi ili yatembelee kwenye migogoro hatimaye haki ipatikane mapema na kukomesha dalili zozote zinazoashiria vitendo vya rushwa

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.