• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Madiwani Mkuranga wapata Semina ya Uongozi

Posted on: December 12th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Filberto Sanga amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kuachana na makundi na kufanya malumbano yasiyo na tija na badala yake kuwa na ushirikianao baina yao kwa faida ya Halmashauri pamoja na wananchi katika Kata zao.

Akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya katika kufunga Semina ya siku mbili ya Baraza jipya la Madiwani iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Wilaya jana, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mhandisi, Mshamu Munde amesema ofisi ya Mkuu wa Wilaya iko tayari kushirikiana na Madiwani hao na kusisitiza kuwa hatosita kutoa ushauri au maagizo pale atakapoona mambo hayaendi sawa.

Munde amewahakikishia Madiwani hao kuwa hawakuzuiwa kuijadili na kuikosoa taarifa iliyowasilishwa katika kikao cha kwanza cha baraza hilo isipokuwa changamoto zilizoonekana zitajadiliwa na kufafanuliwa vizuri kupitia vikao vya kisheria na kwa mujibu wa kanuni.

Nae Mkufunzi wa semina hiyo Gerard Zephyrin amewataka Madiwani hao kujikita katika kuzisoma na kuzifafanua vizuri  Kanuni mbili walizopewa ambazo ni Kanuni za Maadili pamoja na ile kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ili waweze kufanya kazi kwa weledi na itawafanya kuzijua haki zao na hata kuwawezesha kuendesha Baraza lao kwa kufuata kanuni hizo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mohamed Mwela akitoa neno la shukrani kabla ya kufungwa kwa semina hiyo amewaasa Madiwani wenzake kuzingatia yale yote waliyofundishwa na wakufunzi na kuwataka kwenda kuyafanyia kazi ili kuleta mafanikio chanya kwa Wananchi.

Sambamba na kupatiwa mafunzo hayo Madiwani hao wameomba kupatiwa mafunzo zaidi mara tuu itakapobidi, tena wakishirikishwa na baadhi ya Wataalam ili kuongeza ufanisi kwao na wataalam hao katika kuleta maendeleo ndani ya Wilaya ya Mkuranga.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.