• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Madiwani Mkuranga Wapitisha Bajeti ya TARURA

Posted on: December 22nd, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga limepitisha Bajeti ya Tarura kwa Matengenezo ya Barabara Mwaka wa Fedha 2022/2023 na mapendekezo ya Bajeti mpya kwa mwaka wa Fedha 2023/2024.

Bajeti hiyo ilipitishwa sawa na maoni ya wadau mbalimbali yaliyotolewa kikaoni hapo ambapo jumla ya kiasi cha shilingi 1,064,830,000.00 kiliidhinishwa  na hadi sasa utekelezaji upo katika hatua mbalimbali.

Baraza hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa flex Garden Kiguza na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali, Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ambae pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Abdallaha Ulega na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkuranga Veronika Kinyemi.

Wengine ni pamoja na Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga Mwantum Mgonja na Wakuu wa Idara na vitengo mbalimbali wa Halmashauri hiyo pamoja na wananchi.

Akitoa tamko la Serikali Mkuu wa wilaya ya Mkuranga ameshauri kila Robo mwaka Halmashauri itenge Fedha kwa ajili ya kuweka taa za Barabarani ili kuwe na fursa ya usalama wa raia na hata kwa wafanya biashara kwa nyakati za usiku.

Aidha amemtaka Mkuu wa Idara ya ardhi kutekeleza Mpango wa mipango Miji sambamba na upimaji wa ardhi wakati tarura wanapambana na kutengeneza Barabara ili kuepuka Migogoro ya ardhi ya mara kwa mara.

Nae Mbunge wa jimbo la Mkuranga Ambae pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi amempongeza Mh. Rais wa awamu ya sita Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza Bajeti ya Barabara Mkuranga Kutoka Milioni 800 mwaka 2018 hadi kufikia Shilingi Bilioni 1,000,000,000 kwa sasa.

Akitoa ufafanuzi wa asilimia 10 ya fedha zinazotokana na mapato ya ndani kwenda Tarura Mkurugenzi amewataka Madiwani kuwa na subila kwani tayari kiasi cha shilingi Milioni 600 kimetengwa kwa ajili ya Barabara.

Akifunga Mkutano wa Baraza hilo Mwenyekiti wa Baraza hilo Mohamed Mwela amewataka Tarura kusimamia vema nidhamu ya Bajeti iliyopangwa ili kufanikisha ujenzi wa Barabara za Mkuranga zinakuwa na viwango vinavyohitajika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA UALIMU YA MUDA MFUPI March 23, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA LA III March 21, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA July 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA April 14, 2022
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DED akutana na viongozi sekta ya Elimu Mkuranga

    January 15, 2023
  • Madiwani Mkuranga Wapitisha Bajeti ya TARURA

    December 22, 2022
  • Mkurugenzi Mkuranga akabidhi Madarasa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga

    December 20, 2022
  • DED Mkuranga afanya ziara kukagua madarasa mapya ya sekondari

    December 19, 2022
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.