• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Madiwani Mkuranga Wapitisha Bajeti ya TARURA

Posted on: December 22nd, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga limepitisha Bajeti ya Tarura kwa Matengenezo ya Barabara Mwaka wa Fedha 2022/2023 na mapendekezo ya Bajeti mpya kwa mwaka wa Fedha 2023/2024.

Bajeti hiyo ilipitishwa sawa na maoni ya wadau mbalimbali yaliyotolewa kikaoni hapo ambapo jumla ya kiasi cha shilingi 1,064,830,000.00 kiliidhinishwa  na hadi sasa utekelezaji upo katika hatua mbalimbali.

Baraza hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa flex Garden Kiguza na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali, Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ambae pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Abdallaha Ulega na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkuranga Veronika Kinyemi.

Wengine ni pamoja na Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga Mwantum Mgonja na Wakuu wa Idara na vitengo mbalimbali wa Halmashauri hiyo pamoja na wananchi.

Akitoa tamko la Serikali Mkuu wa wilaya ya Mkuranga ameshauri kila Robo mwaka Halmashauri itenge Fedha kwa ajili ya kuweka taa za Barabarani ili kuwe na fursa ya usalama wa raia na hata kwa wafanya biashara kwa nyakati za usiku.

Aidha amemtaka Mkuu wa Idara ya ardhi kutekeleza Mpango wa mipango Miji sambamba na upimaji wa ardhi wakati tarura wanapambana na kutengeneza Barabara ili kuepuka Migogoro ya ardhi ya mara kwa mara.

Nae Mbunge wa jimbo la Mkuranga Ambae pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi amempongeza Mh. Rais wa awamu ya sita Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza Bajeti ya Barabara Mkuranga Kutoka Milioni 800 mwaka 2018 hadi kufikia Shilingi Bilioni 1,000,000,000 kwa sasa.

Akitoa ufafanuzi wa asilimia 10 ya fedha zinazotokana na mapato ya ndani kwenda Tarura Mkurugenzi amewataka Madiwani kuwa na subila kwani tayari kiasi cha shilingi Milioni 600 kimetengwa kwa ajili ya Barabara.

Akifunga Mkutano wa Baraza hilo Mwenyekiti wa Baraza hilo Mohamed Mwela amewataka Tarura kusimamia vema nidhamu ya Bajeti iliyopangwa ili kufanikisha ujenzi wa Barabara za Mkuranga zinakuwa na viwango vinavyohitajika.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.