• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MADIWANI MKURANGA WASHTUKIA UBORA WA PEMBEJEO ZA KOROSHO...

Posted on: May 10th, 2021


Madiwani Mkuranga wanaounda Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wametaka kuwepo kikao cha wadau wa korosho kabla ya usambazaji pembejeo ili kudhibiti ubora wake.

Akifungua kikao cha Baraza cha kupokea taarifa za utekelezaji kwenye kata kwa robo ya tatu Januari-Machi 2020/2021 Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mohamed Mwella alisema zao la korosho ni tegemeo kwa uchumi wa wananchi na Halmashauri kwa ujumla hivyo kabla ya kugawa dawa kwa wakulima watajiridhisha ubora wake.

Aidha mwella ambaye pia Diwani wa Kata  ya Mkuranga aliwataka Madiwani wenzake kuorodhesha barabara mbovu za kipaumbele ili wakabidhiwe wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) Wilaya ya Mkuranga ili kutatua changamoto za mawasiliano vijijini.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye pia ni Katibu wa kikao Mhandisi Mshamu Munde aliwageukia watendaji kata zote (25) na kuwaambia  wawe makini katika uaandaji wa taarifa zao ikiwemo mapato na matumizi na kuziwasilisha ofisini kwake kwa wakati.

Akiwasilisha taarifa ya kata ya Dondo Diwani Abdul Zombe  alitaka Halmashauri kuipa kipaumbele kata hiyo ambayo amezaliwa  Rais Mstaafu  Ally Hassan Mwinyi kama alivyoeleza kwenye kitabu chake alichozindua hivi karibuni.

Naye Diwani wa Kata ya Tengelea Shabani Manda aliungana na mwenzake Zombe kwa Wilaya hiyo kutoa Rais Mstaafu huku akiomba Halmashuri kuangailia upya msaada aliopanga kusaidia Hospitali ya Wilaya Mwanaye Asma Mwinyi ambao utaboresha utoaji huduma za afya.

Kabla ya kufungwa kikao  hicho Mkurugenzi Munde alipongeza Madiwani kuwavumilia Watendaji katika uwasilishaji taarifa za utekelezaji zilizo kamili .

Kikao hicho kilifungwa kwa Mwenyekiti Mwela akiwataka Madiwani wenzake kuwabana Wataalamu  wao watekeleze maagizo ambayo ni sehemu ya kanuni za Halmashauri ya Wilaya.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.