• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MADIWANI MKURANGA WAUPONGEZA MPANGO WA USHIRIKISHWAJI TARURA......

Posted on: May 12th, 2021


Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  waliokutana leo  kwenye ukumbi wa  Flexi  kiguza wameupongeza mpango mpya wa Serikali kuwashirikisha kwenye utekelezaji wa Miradi ya barabara.Akiwaongoza wenzake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mohamed Mwella alimpongeza mwalikwa Mratibu wa (TARURA) Mkoa wa Pwani Mhandisi Lutifyo Mwakigonja kwa ufafanuzi  wake ambao  umerejesha  mahusiano  mazurina (TARURA) Wilaya.Akiwasilisha mpango  huo mpya Mratibu mkoa Muhandisi  Mwakigonja aliweka bayana Bunge  wameboresha Muundo kuanzia Mwaka ujao wa fedha  kutakua na barqza maalumu la madiwani ambalo wataWashirikisha Wataalamu wa (TARURA) Wilaya kujadili changamoto za barabara Mjini na VijijiniKatika kikao hicho Kamati za Kudumu za huduma za Halmashauri ya Wilaya waliwasilisha taarifa zao ambazo Diwani wa kata ya Tengelea  Shabani Manda aliiomba Halmashauri kuajiri Wataalam wa Xray  ili kufanikisha utolewaji huduma  hiyo nyeti kwa wagonjwa.Kwa upande wake Mwenyekiti  wa kamati ya Elimu na afya ambaye pia Diwani wa kata  Mkamba  Hassani Dunda  ameagiza  Vituo vyote vya afya na Zahanati Wilayani humo kuorodheshwa Wataalam waliopo ili kuangalia kwa kina maboresho kwenye sekta ya afya.Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri  Mhandisi Mshamu Munde amewaahidi Madiwani kuendelea kuboresha maeneo mbali mbali ili kuleta tija katika kuqaletea maendeleo wananchi kama Ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyojieleza.Akifunga kikao  hicho Mwenyekiti wa Halmashauri Mohamedi Mwera aliwaomba Madiwani wapta na waliorejea tena kujenga ushirikiano hatimaye wananchi waboreke kimaendeleo

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.