• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Madiwani wachachamaa kuhusu uchimbaji mchanga

Posted on: September 20th, 2017

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, wamemtaka mfanyabiashara wa kuchimba mchanga katika kijiji  cha Koragwa Christopher Lema,aondolewe kutokana na kukiuka taratibu za uchimbaji.

Hayo yalisemwa na Diwani wa Kata ya Mkamba Mh. Hassani Dunda katika kikao cha madiwani, kilichofanyika hivi karibuni.

Alisema katika taarifa ya vikao vilivyopita vya mabaraza waliomba asitishwe kuchimba mchanga  lakini kinachoshangaza   mpaka sasa anaendelea kuchimba mchanga.

Diwani wa Kata ya Tengelea, Mh. Shabani Manda alisema kuwa Lema hafai kuendelea kuchimba mchanga katika eneo hilo, kutokana na kuingia mpaka eneo la shule.

Alisema pamoja na kupewa zuio la kutochimba mchanga wao wanashagaa nguvu ya kuendelea kuchimba mchanga ameipata wapi.

Alisema wao wanataka akiacha kuchimba mchanga pia azibe na mashimo katika kijiji hicho.

Pia Manda alisema kuwa, Lema alichukuwa watu kutoka vijiji mbalimbali na kudai wote ni wakazi wa Koragwa ambao wanamuunga mkono ili achimbe mchanga.


Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Injinia Mshamu Munde alisema kuwa, Lema alifungiwa kuchimba mchanga, lakini alikwenda Baraza la Mazingira (NEMC), ambapo napo walimzuia asichimbe mchanga.Alisema hata hivyo baadaye  NEMC walimruhusu kuchimba mchanga kwa mipaka iliyowekwa.

“Kuna barua ambayo nimeipata kutoka kwa wanakijiji zaidi ya 100,ambao walifanya mkutano na kuomba Lema aendelee kuchimba mchanga,’’alisema.


Kwa upande wake Lema alisema kuwa, anapigwa vita na baadhi ya madiwani ambao hawataki yeye achimbe mchanga, lakini makubaliano ya kuchimba mchanga ni kuwajengea shule ambapo amefanya hivyo kwa kuwajengea madarasa ya kisasa manne, ikiwamo na kuchangia maendeleo katika kijiji hicho.


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.