• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Madiwani waomba elimu kuhusu TARURA

Posted on: November 22nd, 2017

Baraza la Madiwani Wilayani Mkuranga wameuomba uongozi wa Wakala wa barabara mijini na vijijini (TARURA- Tanzania Rural and Urban Roads Agency) kutoa elimu kwa waheshimiwa madiwani kwa lengo la kuelewa jinsi inavyofanya kazi kwa mustakabali wa  wilaya ya Mkuranga.

Waheshimiwa hao waliyasema hapo jana wakati wa mkutano wa kawaida wa baraza la madiwani  wa kujadili taarifa za robo ya kwanza katika ukumbi wa kiguza flex(Tibaigana) hapo jana.

Mh Edward Kowero Diwani wa kata ya Mwandege alihoji juu ya utendaji kazi wa TARURA kwa kuwa haitakuwa chini ya uangalizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga hivyo haitakuwa na ufanisi wa kutosha hususan wananchi wana mategemeo makubwa kuhusu upatikanaji wa miundombinu ya barabara iliyo bora katika ngazi ya mjini na vijijini.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mh.Juma Abeid alitoa ufafanuzi juu ya jambo hilo kwa kusema ”kuna vyombo vingi vya serikali ambavyo vinafanya kazi na Halmashauri lakini haviko chini ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri lakini vinafanya kazi vizuri kabisa hivyo tuondoe hofu”

Aidha Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bwana Salum Papen alisema TARURA ipo kisheria na imepitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo Baraza la madiwani halina mamlaka ya kukataa utendaji kazi wa TARURA.

Wakati huo huo, Baraza la madiwani walitaka kupata mrejesho juu ya nyumba za watumishi ambapo kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani uliopita wa tarehe 13/09/2017  iliazimia hatua za kisheria zichululiwe na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga kupitia vyombo vyake vya kisheria ikiwemo TAKUKURU na Polisi dhidi ya watumishi waliohusika na hatua zote za ujenzi wa nyumba za watumishi.

Baraza la Madiwani lilisema kwakua Mkuu wa Wilaya  ndio alikuwa anashughulikia jambo hili ni vema  mrejesho upatikane kutoka  kwake, hivyo baraza limeazimia kikao kijacho cha mkutano wa Baraza la madiwani wapate mrejesho juu ya hatma ya nyumba za watumishi na watumishi wote waliohusika.


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.