• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Vijana Mkuranga wanufaika na mafunzo ya Afya,Ujasiriamali

Posted on: April 5th, 2017

Asasi ya Umoja wa Shirika la Vijana Mwandege(USHIVIMWA) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imeendesha mafunzo ya siku tatu katika ukumbi wa parapanda kwa wasichana 90 kutoka katika kata za Mkuranga,Vikindu na Mwandege.Mafunzo hayo ni mwendelezo ya mafunzo kama hayo yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana kwa wasichana 150 walioko shuleni katika kata za Mkuranga,Vikindu na Mwandege.Wasichana  90 ni wale walio nje ya shule walipatiwa mafunzo mbalimbali ikiwemo stadi za maisha,madhara ya dawa za kulevya,madhara ya mimba za utotoni na ujasiriamali kwa vitendo.Wasichana hao walijifunza kwa vitendo namna ya ufugaji wa kuku wa asili na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kwa kutumia muhogo na unga wa muhogo.

Afisa Maendeleo ya Jamii kitengo cha Vijana Bi safina Msemo kwa niaba ya Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya alisema kwamba lengo la mafunzo haya  ni kuwafanya wasichana  kujikomboa na hali ngumu ya maisha pia kuepuka kuwa tegemezi jambo linaloweza kusababisha kujiingiza kwenye  vitendo vya ngono zembe ili kujipatia kipato na hatimae kupata magonjwa ya zinaa pamoja na VVU/UKIMWI na kupata mimba zisizotarajiwa.

 MKurugenzi wa USHIVIMWA bwana Mohamed Mbonde alisema"baada ya kutafakari kwa kina juu ya adha zinazowakabili wasichana wengi ndani ya jamii illiyopo mtaani  na kubaki kuwa kama watumwa ndani ya jamii zao kutokana na kutojihusisha na shughuli za kujiingizia kipato  inyotokana na  ukosefu wa elimu ya  ujasiriamali ndipo tulipoamua kutoa mafunzo kwa vijana hao", Bwana Mbonde aliendelea kusisitiza kwamba vijana hao wanatakiwa kuwa na mawazo ya biashara kabla ya kufikiri namna ya kupata mtaji.

Meneja wa Mradi Nuri Kiswamba alisema mafunzo hayo ni  katika utekelezaji wa mradi wao uliofadhiliwa na Taasisi ya The Foundation For Civil Society ambapo umegharimu  Tshs mil 50. Aliendelea kusema kwamba mradi huu ulianza tangu octoba 2016 na unatarajia kumalizika mwishoni mwa mwaka huu.Aidha alisema mradi huu ulijikita katika katika nyanja mbalimbali hasa za Elimu juu ya uzazi,athari za matumizi ya dawa za kulevya na ujasiriamali.

Akifuga mafunzo hayo yaliyodumu kwa siku tatu Afisa Maendeleo ya Jamii kitengo cha vijana  Bi Safina Msemo alizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Idara hiyo alisema ni wakati muafaka kwa vijana hasa wanawake kujitokeza na kujikita katika ujasirimali kutumia fursa ili kujikomboa na umaskini wa kipato hasa ukizingatia mkakati wa Serikali wa kuifikia  Uchumi wa  kati wa Viwanda.


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.