• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MHE.DEOGRATIUS NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA WILAYA YA MKURANGA KUACHA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

Posted on: December 28th, 2021

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejmenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe Deogratius Ndejembi amewaasa watumishi Wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani kuacha kufanya kazi kwa mazoea.Akizungumza nao juzi kwenye ukumbi wa Flexi uliopo Kiguza Ndejemi ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Chamwino Mkoani Dodoma alisema malipo pekee kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa utamaduni wake kuwajali watumishi ni kufanya kazi kwa bidi.

Aidha kiongozi huyo aliwageukia watumishi wa idara ya Ardhi akiwataka wabadilike na kukomesha migogoro ya Ardhi sambamba na kuandaa maeneo ya Ardhi kwa uwekezaji hatimaye mapato ya serikali yaongezeke na kupanua soko la ajira.

Aidha alimwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri Bi.Mwamtum Mgonja kutenga bajeti kwa ajili ya watumishi kujiendeleza kielimu likizo sambamba na kuiwezesha wataalamu wa idara ya utumishi kwenda Makao makuu Dodoma kufatilia changamoto mbalimbali za Watumishi zikiwemo mabadiliko ya mishahara baada ya kupanda madaraja ,madeni mbalimbali.

Akitoa salamu Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ally alimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mikakati yake ya kuondoa malalamiko ya Watumishi huku akimhakikishia Naibu huyo kuwa wao hawana likizo yeyote wanashirikiana kufanikisha ujenzi wa madarasa kupitia fedha za (uviko 19) lengo wanafunzi wawe madarasani wote shule zikifunguliwa .

Kwa upande wake Mkurugenzi Bi.Mwamtum Mgonja alimuomba kiongozi huyo kuwalipa malimbikizo ya mishahara Watendaji wa vijiji 56 ambao serikali iliwarejesha kazini kwani madai yao ni ya muda mrefu na wanakaribia kustaafu.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejmenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe Deogratius Ndejembi amewaasa watumishi Wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani kuacha kufanya kazi kwa mazoea.Akizungumza nao  kwenye ukumbi wa Flexi uliopo Kiguza Ndejemi ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Chamwino Mkoani Dodoma alisema malipo pekee kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa utamaduni wake kuwajali watumishi ni kufanya kazi kwa bidi.

Aidha kiongozi huyo aliwageukia watumishi wa idara ya Ardhi akiwataka wabadilike na kukomesha migogoro ya Ardhi sambamba na kuandaa maeneo ya Ardhi kwa uwekezaji hatimaye mapato ya serikali yaongezeke na kupanua soko la ajira.

Aidha alimwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri Bi.Mwamtum Mgonja kutenga bajeti kwa ajili ya watumishi kujiendeleza kielimu likizo sambamba na kuiwezesha wataalamu wa idara ya utumishi kwenda Makao makuu Dodoma kufatilia changamoto mbalimbali za Watumishi zikiwemo mabadiliko ya mishahara baada ya kupanda madaraja ,madeni mbalimbali.

Akitoa salamu Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ally alimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mikakati yake ya kuondoa malalamiko ya Watumishi huku akimhakikishia Naibu huyo kuwa wao hawana likizo yeyote wanashirikiana kufanikisha ujenzi wa madarasa kupitia fedha za (uviko 19) lengo wanafunzi wawe madarasani wote shule zikifunguliwa .

Kwa upande wake Mkurugenzi Bi.Mwamtum Mgonja alimuomba kiongozi huyo kuwalipa malimbikizo ya mishahara Watendaji wa vijiji 56 ambao serikali iliwarejesha kazini kwani madai yao ni ya muda mrefu na wanakaribia kustaafu.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.