• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MIKOPO KUTOLEWA KWA VIKUNDI 19 VYA WAJASILIAMALI MKURANGA..

Posted on: May 24th, 2021

Halmashauri ya Mkuranga imeendesha mafunzo ya siku moja kwa vikundi vya ujasiliamali 19 vinavyotarajiwa kupewa mkopo wa asilimia 10 ambapo mil 155 zinatarajiwa kutolewa awamu ya pili kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

 Akizungumza wakati wa mafunzo hayo afisa tarafa Mkuranga Clement Muya kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amewapongeza Idara ya maedeleo ya jamii wilayani humo kwa kutoa elimu hiyo na kuwataka wajasiliamali kutumia mkopo watakao upata kwa malengo yaliyokusudiwa ili uweze kuwanufaisha

Aidha Muya amewataka wataalamu mbali mbali ngazi zote kuwafatilia na kushirikiana na wajasiliamali hao kwa kuendelea kuwasimamia kwenye kazi zao ikiwemo idara ya kilimo na mifugo kwa kuwapa elimu ili kuleta tija katika kazi zao wanazozifanya ili waondokane na umasikini.

 Naye Peter Nambunga Afisa Maendeleo ya jamii wilaya amesema Halmashauri inatarajia kutoa zaidi ya mil 600 kwa mwaka wa fedha 21/22 kwa wajasiliamali hivyo amewataka kurejesha fedha wanazokopeshwa ili wengine nao waweze kukopa.

 “Wanakutana na changamoto kubwa ya ulipaji wa marejesho kwa wakati na hii ni kwa sababu wajasiliamali wamekua sio watu wa kutimiza wajibu wao mpaka wafatiliwe kuhimizwa kurejesha marejesho”.Alisema Nambunga

Sambamba na hilo Afisa Takukuru aliyehudhuria mafunzo hayo Bi. Afsa kitime ametoa wito kwa wale wanaoshughulikia upatikanaji wa mikopo kuhakikisha wanafuta sheria na taratibu za utoaji wa mikopo ili kuepuka mazingira ya rushwa.

Wakizungumza kwa niaba ya wenzao wajasiliamali hao wamefurahishwa na mafunzo hayo na wameshukuru na kuahidi kutumia mikopo hiyo vizuri ili iweze kuwainua kiuchumi na hatimae maisha yao na familia zao kuboreka.

Aidha katika kuhakikisha fedha za mkopo zinatolewa na zinakua salama Kaimu Mwanasheria wa Halmashauri ya Mkuranga bi. Mary Kavile amewasainisha mkataba juu ya matumizi ya fedha hizo kwa vikundi vyote 19.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.