• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Miopo ya Wanawake na Vijana ilete tija Mkuranga

Posted on: November 24th, 2017


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Eng.Mshamu Munde Leo amehitimisha mafunzo ya siku mbili kwa vikundi vya ujasiriamali vya wanawake na Vijana katika kata ya Kimanzichana.

Akiongea wakati wa kufunga mafunzo hayo Eng Munde alisema lengo la kutoa mafunzo hayo ni kuhakikisha kwamba Fedha zinazokopeshwa na Halmashauri zinatumika kulingana na mahitaji halisi ya kikundi lakini pia kuendeleza biashara na kurejesha mikopo ili vikundi vingine vipate fursa ya kukopa.

Eng Munde aliongeza kwa kusema changamoto ya masoko ya mananasi na mapesheni imeisha sababu kuna wadau wamejitokeza kuanzisha kiwanda "Tumepata wadau ambao wako tayari kuanzisha kiwanda na hivyo wameomba kununua mananasi na mapesheni hivyo bidhaa hizi hazitaharibika tena, pia nawasihi muendelee na Kilimo hiki zaidi"

Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Mkuranga ndugu Peter Nambunga alisema mafunzo haya hufanyika kwa wanavikundi vya ujasiriamali vya wanawake na vijana kila wanapotaka kutoa mikopo kwa lengo la kuwaelimisha namna ya kutumia fedha walizoomba kwa ajili ya biashara zao lakini pia kuwasaidia namna ya kupata masoko.

Bi joyce philipo mwanakikundi wa VEPAMO women group wanajishuhulisha na uuzaji wa nguo za wakina mama alisema "mafunzo haya yamenisaidia kufahamu nani ni soko kumbe soko ni mteja ambae anayekuja kununua bidhaa zangu lakini pia nimejifunza kujiamini katika biashara yangu".

Bwana Shaweji Mohammed Mwenyekiti wa kikundi cha Kazi Kwanza ambapo wanajishughulisha na ulimaji wa mananasi na mpaka sasa wamelima mananasi ekari 15 na wanashukuru kwa kauli ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mkuranga kupata wawekezaji ambao watanunua mananasi kutoka kwao hivyo bidhaa zao hazitaharibika.

Mafunzo hayo yamehitimishwa kwa kata 15 kati ya kata 25 ambazo ni Mkuranga, Mkamba,Magawa, Kimanzichana, Mwarusembe, Nyamato, Lukanga, Njianne, Kisiju,Kiparang'anda, Vikindu, Vianzi, Mipeko, Tambani na Mwandege.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.