• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuranga kushirikiana na Mtwara katika kuboresha sekta ya Utalii

Posted on: May 16th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga na Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara – Mikindani zimeadhimia kutengeneza kiungo (link) cha ushirikiano katika sekta ya utalii ili iwe rahisi kuifanya sekta hiyo kuongeza ufanisi wenye tija katika kukusanya mapato yatakayosaidia serikali kufikia uchumi wa kati.

 Maadhimio hayo yalifikiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara – Mikindani Kanali Emmnauel H.Mwaigobeko na Timu ya utafiti wa fursa za utalii – Mkuranga iliyotembelea Mkoani Mtwara kwa lengo la kujifunza na kuangalia namna ya kuboresha vivutio vyake katika vya Utalii 

 Mwaigobeko alisema endapo kutakua na mashirikiano mazuri baina ya Halmashauri hizo mbili itakua ni fursa kwa watalii wanaotembelea Mtwara kufika Mkuranga na wanaofika Mkuranga kufika Mtwara pia jambo litakalozinufaisha Halmashauri zote mbili kimapato lakini pia itawashibisha watalii kwa vivutio vinavyopatikana sehemu hizi mbili.

 Naye kiongozi wa Timu hiyo ya Utafiti kutoka Wilayani Mkuranga, Ndugu Pembe Mlekwa ambaye pia ni Afisa Michezo na Utamaduni wilaya ya Mkuranga alisema, serikali imesisitiza Halmashauri zote nchini kutambua na kuboresha vivutio vyake vya utalii, hivyo katika kutekeleza agizo hilo wamependelea kujifunza Mtwara na Kilwa – Lindi kwani ni moja kati ya mikoa iliyopiga hatua katika sekta ya utalii 

 Timu hiyo ya watafiti imeweka kambi ya muda mfupi katika Manispaa ya Mtwara - Mikindani na kufanikiwa kutembelea Vivutio kadhaa ikiwemo “The Old Boma”  pamoja na fukwe ya Makonde (Makonde Beach) wakati  ikijipanga kutembelea katika mji wa Kilwa kwa lengo la kujifunza na kupanua wigo wa ushirikiano katika sekta ya utalii.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.