• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuranga wapokea baiskeli kwa ajili wanafunzi wa kike

Posted on: December 8th, 2020

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Mhandisi Mshamu Munde ametoa rai kwa Mashirika yasiyo ya Kiserikali kujitokeza na kuendeleza juhudi za Serikali katika kutatua na kuziondoa changamoto mbalimbali katika sekta ya Elimu Wilayani humo.

Munde ameyasema leo katika hafla ya kukabidhi baiskeli 30 kwa baadhi ya Shule za Sekondali ili ziweze kuwasaidia wanafunzi wa kike ambao wanatembea umbali zaidi ya kilometa 10 kutoka majumbani mwao kufuata shule ilipo na kuwaondolea vikwazo mbalimbali wakiwa njiani.

Baiskeli hizo ambazo zimetolewa na taasisi isiyo ya Kiserikali ya Forum for Balanced and sustainable development  kwa ufadhili wa HASENE Internatinal kwa lengo la kuwasaidia watoto wa kike wa  kidato cha kwanza hadi cha tatu.

Awali akiwasilisha taarifa fupi ya changamoto zinazoikumba Halmashauri ya Mkuranga katika sekta ya Elimu, Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Mkuranga Benjamin Majoya ameishukuru taasisi hiyo kwa kuliona tatizo hilo na kulitafutia ufumbuzi kwa kuleta baiskeli na kuwaomba kuendelea kusaidia kwa mambo mengine katika sekta hiyo.

Nae katibu wa taasisi hiyo Chake Bakari ameahidi kupitia taasisi hiyo au hata kupitia taasisi nyingine kuona ni namna gani wanaweza kuendelea kutafuta misaada mingine na hasa zikiwemo ya upatikanaji wa vitabu mbalimbali vya masomo, kompyuta sambamba na miundo mbinu ya Elimu.

Ameongeza kuwa Baiskeli hizo siyo mali ya mwanafunzi bali itakuwa ni mali ya shule husika isipokuwa watakabidhiwa kuzitumia wakiwa shule na wanapomaliza au kuacha shule wanatakiwa kuzikabidhi shuleni ili ziweze kuwasaidia wengine.

Shule zilizobahatika kupata mgao huo kwa baadhi ya wanafunzi wake ni Shule ya Sekondari shungubweni baiskeli 7, Kisiju 10, Mwandege 3, Dundani 5 na Shule ya Sekondari Tengelea baiskeli 5

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.