Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKURANGA WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI, WAKABIDHI MADAWATI 122....

Posted on: August 6th, 2020


Serikali ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani imekabidhi madawati (122) kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mwinyi kama alivyoagiza Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama Wilayani humo akitokea masasi kumzika Rais  mstaafu  awamu ya tatu hayati Benjamin Mkapa.

Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika jana  shuleni hapo, Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga pamoja na kumpongeza kiongozi huyo wa Taifa kwa mikakati yake ya kuboresha sekta mbali mbali ikiwemo elimu kupitia mapato ya ndani alisema katika kuunga mkono jihudi hizo wamejiongeza na kuanza ujenzi wa matundu ya vyoo kwa shilingi milioni tatu.

Aidha sanga aliwataka wanafunzi  hao waongeze bidii kwenye masomo ili baadaye waweze kulisaidia taifa kwenye Nyanja mbali mbali sambamba na wao kujiajiri huku akiwaonya waepuke makundi ya wahuni kutotumia madawa ya kulevya nao wasichana wasiingie  kwenye vishawishi vitakavyochangia wapate ujauzito.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mhandisi  Mshamu Munde alisema wamejipanga kukabiliana na changamoto kwenye sekta ya elimu inayochangiwa na ongezeko la wananfunzi kufuatia wazazi kuhamia kutoka Mikoa mbalimbali na uwepo wa viwanda vingi.

Munde alitumia fursa hiyo kuwataa watendaji wa vijiji hadi kata kutumia vikao vyao vya kisheria kuhamasisha wazazi wachangie kwenye madawati hatimaye ichochee ufaulu kwenye shule za awali, msingi hadi sekondari.

Naye mkuu wa shule hiyo Maritn Chuwa alipongeza  Halmashauri ya Wilaya kufatilia  kwa karibu  katika kuboresha shule hiyo kongwe Wilayani humo huku akiahidi kushirikiana na walimu wenzake kuwafundisha kwa bidii wananfunzi wawe na matokeo mazuri

Hafla hiyo ilihudhuriwa na wakuu wa idara, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na serikali ya kijiji.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.