Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuranga yaadhimisha siku 16 za ukatili na siku ya msaada wa kisheria

Posted on: December 11th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani kwa ushirikiano na wadau mbalimbali wameadhimisha siku 16 ya  kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake, watoto na watu wenye ulemavu sambamba na siku ya msaada wa kisheria.

Madhimisho hayo yamefanyika jana kwenye viwanja vya stendi mpya ya Mwandege na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo Takukuru, Paraligal, Repssi, Hdo na Dawati la Polisi Mkuranga.

Akizungumza kwenye hafla ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto na wiki ya msaada wa kisheria Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Arafa Halifa ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Usafi wa Mazingira na udhibiti wa taka

Kwa upande wake Mkuu wa Polisi wilayani Mkuranga Mratibu Mwandamizi Magai Chassa amesema vitendo 59 vya ubakaji, Kulawiti 27, Mimba 36 kwa Wanafunzi, shambulio la aibu 22 na kutelekeza family 3 vimeripotiwa kwa kipindi cha Januari hadi Desemba Mwaka huu.

Magai aliweka bayana kuwa matukio hayo yapo hatua mbalimbali za kisheria ili kupunguza na kukomesha vitendo hivyo kwenye vijiji 125 vya vilivyopo Wilayani Mkuranga.

Aidha kiongozi huyo alizitaja changamoto zinazowakabili ni ukosefu wa Ofisi za Dawati la jinsia kwenye Vituo vya polisi sambamba na ushirikiano duni na waathirika, Mila na desturi potofu na kesi nyingi kuzimalizia Nyumbani

Akiwahutubia wananchi uwanjani hapo Diwani wa Kata ya Mwandege kwa Niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi. Khadija Nasri Ali amewataka wananchi kufanya tathmini ya Ukatili na athari zake kisha kuziweka wazi katika vyombo husika hatimaye kuwe na Taifa Bora.

Aidha Mku huyo alizipongeza Taasisi kwa kuisaidia serikali katika mapambano hayo huku akiwataka viongozi na wazazi kutokufumbia macho vitendo hivyo

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.